Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Atakua amepiga picha kwenye nymba ya mwalimu mkuu wa kijijini kwao🙂

Nixcie ni fukara mno. Kwanza proof nyingine kuwa hiyo nyumba sio yake Ni kuwa picha za nyumba alizoleta hazifanani quality. Hiyo nyingine sijui kapiga picha kwa camera ya blackberry??? 🤔 Kama ingekuwa nyumba yake, angepiga picha zenye quality moja. Usikute kaokota kwenye internet 😂😂🙆🏾‍♂️
 
nilijua hili jambo linautata mkubwa sana
Hapo mambo ni mawili

1. Vipimo vyao ni feki
2. Wana ajenda ya siri dhidi ya Tz

Hilo la kwanza siamini cz km ni feki kwnn vitoe majibu ya positive kwa madereva wa Tz tu, yn wakipima madereva 27 basi hapo vipimo vitasema 24 ni WaTz, 1 Uganda, 1 Kenya, 1 Rwanda.

Hilo la pili ndvyo nnavyodhani mm, kwmb Wakenya wanafanya hila dhidi ya Tz cz wanaumia kuona cc uchumi unaenda tu japo kipindi hiki cha Corona na ilihali hatufanyi km wao walivyoamua kuwaiga mabeberu, so ni wivu, chuki na fitina tu ndo zinawasumbua.
 
Hapo mambo ni mawili

1. Vipimo vyao ni feki
2. Wana ajenda ya siri dhidi ya Tz

Hilo la kwanza siamini cz km ni feki kwnn vitoe majibu ya positive kwa madereva wa Tz tu, yn wakipima madereva 27 basi hapo vipimo vitasema 24 ni WaTz, 1 Uganda, 1 Kenya, 1 Rwanda.

Hilo la pili ndvyo nnavyodhani mm, kwmb Wakenya wanafanya hila dhidi ya Tz cz wanaumia kuona cc uchumi unaenda tu japo kipindi hiki cha Corona na ilihali hatufanyi km wao walivyoamua kuwaiga mabeberu, so ni wivu, chuki na fitina tu ndo zinawasumbua.
Upo sahihi
Nimchezo mchafu
 
Atari sn

Mwendeshaji mwendokasi kuongeza mabasi
Screenshot_2020-05-14-12-52-38.jpeg
 
Hapo mambo ni mawili

1. Vipimo vyao ni feki
2. Wana ajenda ya siri dhidi ya Tz

Hilo la kwanza siamini cz km ni feki kwnn vitoe majibu ya positive kwa madereva wa Tz tu, yn wakipima madereva 27 basi hapo vipimo vitasema 24 ni WaTz, 1 Uganda, 1 Kenya, 1 Rwanda.

Hilo la pili ndvyo nnavyodhani mm, kwmb Wakenya wanafanya hila dhidi ya Tz cz wanaumia kuona cc uchumi unaenda tu japo kipindi hiki cha Corona na ilihali hatufanyi km wao walivyoamua kuwaiga mabeberu, so ni wivu, chuki na fitina tu ndo zinawasumbua.
mm nasema wana agenda ya siri dhidi ya tanzania mark my words😂😂😂
 
Nop u r 61% now as far as debt to GDP ratio n ur former finance CS Rotich n ur governor Njoroge said u can still push it to 79% so u have 18% space still!

Now this is what happened to Rotich



I am now waiting to find out Njoroge's destiny


#Akilizahandshake#

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Yosef Festo Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala
kikihboy nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
Endelea kukosa usingizi ju ya kenya na kufatilia kenyan media 24/7

Sent using Jamii Forums mobile app
 
imepenya hiyo! Truth and only truth! siku hizi hamthubutu ku-forge

BTW ile blog yako ya kifalafala iliishiaga wapi?
Haha unajitekenya bure ukidhani kuna mtu anajali...huezi niona nikifatilia Tanzanian news kama unavofanya na nikishinda Tanzani section coz i have a life..kinachokusumbua wewe na ndugu zako ni inferiority complex na haina tiba ni kuachwa tu mumwage pumba mkichoka mwishowe mtalala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haha unajitekenya bure ukidhani kuna mtu anajali...huezi niona nikifatilia Tanzanian news kama unavofanya na nikishinda Tanzani section coz i have a life..kinachokusumbua wewe na ndugu zako ni inferiority complex na haina tiba ni kuachwa tu mumwage pumba mkichoka mwishowe mtalala

Sent using Jamii Forums mobile app
cha ajabu kila ukiingia humu lazma uangalie nime-post nn!
 
Back
Top Bottom