The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
This is too savage I cannot get over it.U will be 6 feet below the ground by then!
Nixcie ni fukara mno. Kwanza proof nyingine kuwa hiyo nyumba sio yake Ni kuwa picha za nyumba alizoleta hazifanani quality. Hiyo nyingine sijui kapiga picha kwa camera ya blackberry??? 🤔 Kama ingekuwa nyumba yake, angepiga picha zenye quality moja. Usikute kaokota kwenye internet 😂😂🙆🏾♂️Kwamba huu ni mjengo wako na huyu ni wwuna vituko sn wwView attachment 1449217View attachment 1449218View attachment 1449219View attachment 1449221
Nixcie ni fukara mno. Kwanza proof nyingine kuwa hiyo nyumba sio yake Ni kuwa picha za nyumba alizoleta hazifanani quality. Hiyo nyingine sijui kapiga picha kwa camera ya blackberry???Kama ingekuwa nyumba yake, angepiga picha zenye quality moja. Usikute kaokota kwenye internet
![]()



picha zake huwa znaonekana kabisa kwmb anatumia tecno ya bei cheaper, huwa tunaona screenshot zake, hakuna hata cku moja cm yke ikawa full charge af anataka kushindana na wenye nacho, km huna wacha wenge we tulia ule cndano maisha yanaenda ipo siku na ww Mungu atakujalia tu mbn ndo maisha yetu hayo, lkn co unataka kutunishiana misuli na waliokutangulia lazima uumbuke mzee baba 



do you smell something here?
hiv Tanzania kuna vitu gan tunavitegemea kutoka kenya? (just a simple qn, no need to argue)


akipatia kueleza ni nini kwenye paa nahama humu!
niliwaambia jana kaziokota 😂😂😂Nixcie ni fukara mno. Kwanza proof nyingine kuwa hiyo nyumba sio yake Ni kuwa picha za nyumba alizoleta hazifanani quality. Hiyo nyingine sijui kapiga picha kwa camera ya blackberry??? 🤔 Kama ingekuwa nyumba yake, angepiga picha zenye quality moja. Usikute kaokota kwenye internet 😂😂🙆🏾♂️
Tanzania tutafaidika sana?$30 bln LNG plant at Likongo Lindi loading..
C mlitaka nchi ya viwanda ndio hyo yaja
Hahaha
Wakazane tuWana hakikisha wanaichafua Tz kwa korona Kwani wamepata mwanya ili dunia itutenge,lakini tupo imara