ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
hayajauwa kiasi hicho bro hio kwenu ni janga la taifa tayar alaf bado muko munahangaika na tanzania, yani kazi munayo
hayajauwa kiasi hicho bro hio kwenu ni janga la taifa tayar alaf bado muko munahangaika na tanzania, yani kazi munayo
Kwhyo unafurahia watu wakifa kwa mafurikoyalete yaliyoua watu miezi mitatu iliyopita
Janga la taifa ni nini? na kwan mafuriko yakiua kuna mkono wa mtu, au ndio unafurahia...hayajauwa kiasi hicho bro hio kwenu ni janga la taifa tayar alaf bado muko munahangaika na tanzania, yani kazi munayo
Ndo maana nasema mmejaa ujinga hadi sasa ni kushabikia vifoyalete yaliyoua watu weng miezi mitatu iliyopita
Kabisa mazee..eti jamaa na midevu yake ywadaisha eti "yalete yaliouwa watu ndani ya miezi mitatu iliyopita"
Naona madereva kutoka Kenya wanalia lia na kuandamana kwamba hawaamini vipimo vya covid kutoka kwa maafisa wa Uganda. Karma is a *bichi*...Kwaivo tuwaache waingie na corona ndo Tanzania isichafuliwe jina?? Ujinga uliopo tz ni level nyingine kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
hayajauwa kiasi hicho bro hio kwenu ni janga la taifa tayar alaf bado muko munahangaika na tanzania, yani kazi munayo
Itabidi mchukue loan nyingine kusaidia over 150,000 displaced at least $500 mln will do! Nakumbuka mlikuwa mnachekelea kukatika daraja Tanzania!Janga la taifa ni nini? na kwan mafuriko yakiua kuna mkono wa mtu, au ndio unafurahia...
Ujue haya hayana mipaka, leo huku kesho kule..
Sent using Jamii Forums mobile app
hujaelewa janga la taifa maana yake pale maradhi au njaa ya any natural disaster inapozidi kiwango huitwa janga la taifa kama vile floods kuua wakenya zaidi ya 270 + displacement ya watu 160,000 na mali kuharibiwa kwa wingi,Janga la taifa ni nini? na kwan mafuriko yakiua kuna mkono wa mtu, au ndio unafurahia...
Ujue haya hayana mipaka, leo huku kesho kule..
Sent using Jamii Forums mobile app
hii mada hujaielewa bro uliza upewe majibu 😂😂😂😂 umedakia habari kwa juu sanaOnly in tanzania, mashine za kupimia ni mbovu lkn bado spika anaogopa hadi kuwakataza baadhi ya wabunge bungeni kisa hawaja pima na wala hawathibitisha km wamepima..
Kweli hamjielewi km mnataka nn..
Heri Mungu akalitokomeza hili manake kw hali hii vilaza wataumia sanaView attachment 1449498
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamekufa 287
wakat munainyoshea kidole tanzania juu ya corona hua munasahau shida zenu au???
yani yote wanafanya hvi kwasababu kwann tanzania haijaenda curfew au lockdown na kwann tuko bzy kujenga nchi hichi kitendo kinawauma sana ndio wako bzy hapa kuichafulia jina tanzaniaNaona madereva kutoka Kenya wanalia lia na kuandamana kwamba hawaamini vipimo vya covid kutoka kwa maafisa wa Uganda. Karma is a *bichi*...
Mnayowatendea wenzenu na nyie mtatendewa tuu, kwa kipimo kile kile au zaidi.
Uhuni mnao fanya pale Namanga boda ni wa kipuuzi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
tena kimegeuka kua janga la kitaifaumekuwa mpole ghafla
si mlikuwa mnatusema kuhusu mafuriko kipind cha nyuma? kibao kimegeuka sasa
ona hii 👇👇👇👇Itabidi mchukue loan nyingine kusaidia over 150,000 displaced at least $500 mln will do! Nakumbuka mlikuwa mnachekelea kukatika daraja Tanzania!
wanahangaika na tanzania yani wakenya munasafari ndefu sana