Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

yani yote wanafanya hvi kwasababu kwann tanzania haijaenda curfew au lockdown na kwann tuko bzy kujenga nchi hichi kitendo kinawauma sana ndio wako bzy hapa kuichafulia jina tanzania
Alaaaa kumbeee, basi watasubiri sana maana wao wanalazimisha kuuaminisha umma kwamba Tz watu wanakufa kwa covid-19 kumbe huku tunapiga kazi tuu
 
Tangu walivyo vote Tanzania wasiuze pemba za ndovu zilizokamatwa kwa majangili niliwaona wakenya wanaroho ya ajabu kweli. Hawa dawa mpaka ufungwe hata mwezi wakaombe chakula kwa wazungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu walivyo vote Tanzania wasiuze pemba za ndovu zilizokamatwa kwa majangili niliwaona wakenya wanaroho ya ajabu kweli. Hawa dawa mpaka ufungwe hata mwezi wakaombe chakula kwa wazungu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wana matatizo mengi sana kwa sasa hawa watu, wakati cc tunapambana na corona wao wanapambana na corona, nzige, njaa, ukosefu wa maji safi na salama, ufisadi na dudu lingine linaitwa floods
 
products-tanzania-regional-capitals-map-powerpoint-presentation.jpg
 
Kufikiaa mwaka 2023 tunaweza shika namba moja coz watu wamelima parachichi ad sio pw
Ukitaka kujua kwmb hawa wasenge walikuwa wanatoa wapi parachichi hebu angalia miaka 5 nyuma tulikuwa zero kabisa kwny exportation ya hilo zao, lkn ss tupo namba 2 ghafla, ss subirini muone mchezo, now tunauza wenyewe hutasikia tena ushuzi wa kenya kuwa wakwanza cjui wa ngp, wajinga hawa ardhi ya kuongoza kwenye hilo zao hawana amini nakwambia
 




Tanzania orders foreign firms to buy produce from auctions
WEDNESDAY MAY 13 2020

A green house in Mount Meru, Arusha.

A green house in Mount Meru, Arusha, where most of Tanzania’s horticultural farms are located. Non-local firms can’t buy produce directly from farmers. PHOTO | AFP

In Summary
  • “We are aiming to protect both farmers and local companies from low prices and being taken advantage of from foreign companies conducting business in Tanzania,” said Minister for Agriculture Japhet Hasunga in a media briefing.
  • Mr Hasunga said the restriction does not contravene the East African Community Protocol on free movement of goods because the borders are still open.

By APOLINARI TAIRO
More by this Author
Non-local firms in Tanzania are now barred from buying agriculture produce directly from farmers.

Instead, the Ministry of Agriculture has directed these firms to purchase produce through auctions and authorised local markets.

“We are aiming to protect both farmers and local companies from low prices and being taken advantage of from foreign companies conducting business in Tanzania,” said Minister for Agriculture Japhet Hasunga in a media briefing.

Mr Hasunga said the restriction does not contravene the East African Community Protocol on free movement of goods because the borders are still open.

“We have not and don’t have plans to restrict free movement of goods, but we have set guidelines to protect our farmers.

Foreign traders can buy from a secondary market and pay all dues before they take the goods to their countries,” he told The EastAfrican.

Tanzania targets to store 120,000 tonnes of cereals, mostly maize. The government has also instructed the National Food Reserve Authority (NFRA) to purchase food crops from farmers for storage.

FOOD DEFICIT
The restriction on buying farm produce also aims to shield the country against a looming food deficiency due to floods that have hit several parts of Tanzania and a looming locust invasion.

With the ongoing seasonal rains, Tanzania has been hit by flash floods for the first week of May. Floods were reported to hit key agricultural regions in Southern, Northern, Central and Western Tanzania with damages to households.

Agriculture in Tanzania has been affected by Covid-19 after major and strategic commercial crops suffered lower prices. Minister for Industry and Trade Innocent Bashungwa said in a report last week that cotton, coffee, tea and tobacco were the hardest hit by the pandemic.

Mr Bashungwa said that Covid-19 prevention and restriction measures taken in key European, American and Asian markets have caused grounding of buyers of Tanzanian cash crops in key markets. He said that travel restrictions had limited buyers from travelling to Tanzania for business.

Tanzania orders foreign firms to buy produce from auctions
 
hujaelewa janga la taifa maana yake pale maradhi au njaa ya any natural disaster inapozidi kiwango huitwa janga la taifa kama vile floods kuua wakenya zaidi ya 270 + displacement ya watu 160,000 na mali kuharibiwa kwa wingi,

sasa umesahau kitu kwamba munahangaika kushuglika na tanzania mukisahau kwenu moto unaunguza makalio yenu
Hahaaa!!hapo ndipo elimu imekufikisha, hata maana ya janga la taifa kumbe hujui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina video ya madereva wa zambia waliofungiwa mpakani kwa siku 20 alaf wanaambiwa wana coronaa wakati ni uzushii hii ishu na wakenya nadhani iko hivyoo. Wanacho tafuta watakipataa mda utaongeaaa
Vyombo vya habari vya Kenya ndo vinasambaza hila hizo, hata kuhusu habari ya kufungwa kwa mpk wa Tz na Zambia Wakenya wameshadadia kwa herufi kubwa kabisa ili ionekane ni kweli Tz inasambaza corona, lkn Kabudi ametolea ufafanuzi kuhusu hilo la Zambia anasema mpk umefungwa kwa siku 5 ili maafisa wa Zambia wachukue takwimu zao pale mpakani na baada ya hapo kila kitu kitakuwa sawa, ss hawa wapuuzi wanaleta siasa ktk kila jambo, unajua wakenya tangu waone tunaanza kurudisha nafasi yetu hapa EA inawauma sn
 
Kumbe waumwa wewe kenya inapochukua deni

Sent using Jamii Forums mobile app
Nop u r 61% now as far as debt to GDP ratio n ur former finance CS Rotich n ur governor Njoroge said u can still push it to 79% so u have 18% space still!

Now this is what happened to Rotich



I am now waiting to find out Njoroge's destiny


#Akilizahandshake#

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Yosef Festo Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala
kikihboy nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
 
Back
Top Bottom