Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi
tapatalk_1588612757072.jpeg
tapatalk_1588611829734.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
PhD in Applied Chenistry, mtu habahatishi kufika That academic qualification, what about you, una Bachelor of Arts in Linguistics sio?
Dr. wa nini?., kama unajua maana ya Doctor., ama wewe ni wale wakiona yeyote ni Dr. munafikiria ni wakutibu ama ana majibu kwa kila jambo., wacha ufala. Tanzania's ignorance is on steroids

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo vipi Gamora mtoto mzuri
Tatizo lao huona kenya kila mahali hapalimwi, medias zetu wakitoa idadi ya njaa na ukame huaga zile ni estimations tu..
Mtu km ni mjanja si ajichanganye kwanza na taarifa halafu..eti unaambiwa watu million mbili au tatu halafu unakuta bado picha na kw habari bado wanaonyesha turkana tu..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wacha kupiga picha bro, ile pita pita tu mitaa ile ni noma..
Nilishawai chukua baiskeli yangu na kuamua kuzunguka hzo area, sasa nikawa nakatiza hyo barabara ya statehouse hadi florida na kurudi mpka uhuru na kazi..

Ndugu yangu trip ya nne wale ndume walinisimamisha halafu wakanitia mikwara sana..km sio id ya kazi mimi sai kwishnehi..nashuku walikua recce wale jamaa manake sio kw zile mbwembwe na roho mbaya

Sent using Jamii Forums mobile app
Jimama unaendesha baiskeli na huo umri na kujiona upo comfortable kabisa

Send by APOLO 1
 
Back
Top Bottom