Shoppers wamefanya investments kubwa kubwa karbuni ..i hope watafanikiwa ..ni wao na Tsn naona wako stable ..Hizi chain za nje zimeishndwa
Kenyatta atakuwa busy anaandaa maua kupeleka this time nafikiri atapeleka US.tumsubiri kenyatta tuone nae atasemaje ðŸ¤
View attachment 1439077
Tatizo lipo pale pa kifo, mbna watu wankufa kote kote...manake huwezi nambia jiwe anaweza kubali eti kuwe na mpango wa kuwaua watu kw sumu wanapokua katika isolation centers ili ionekane ugonjwa upo kweli na unauahii ishu ya corona nadhan ni mpango mzima wa china kuivuruga dunia nzima, ili waweze kufaidika na mauzo ya vifaa vyao kipindi hiki cha corona, ile mizigo ya Jack Ma ni kama tangazo tu kuonyesha vifaa vipo china.. haiwezekani Jack Ma asaidie mzigo wote ule bila wao kunufaika in conspiracy-world eye
Tatizo lao huona kenya kila mahali hapalimwi, medias zetu wakitoa idadi ya njaa na ukame huaga zile ni estimations tu..Mbale ni bara na hakuna lockdown, western hakuna hunger, hio ni maoni ama mtaka likes., nothing like that in western., fuatilia mwenyewe., wacha kujiliwaza, nchi mko na kasoro kama sio neema ya mwenyezi Mungu Tz haingekua mahali ipo kwa sasa, upumbavu na uzembe mlio nayo ni ya ajabu. Shukuruni Mungu na suo Maguu., kila uchao anachemsha
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lipo pale pa kifo, mbna watu wankufa kote kote...manake huwezi nambia jiwe anaweza kubali eti kuwe na mpango wa kuwaua watu kw sumu wanapokua katika isolation centers ili ionekane ugonjwa upo kweli na unaua
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hapa ndipo anapowajibu watoa data za uongo kwamba hali c nzr lkn cvyo km wao wanavyosema, mana yeye ndio yupo jikoni kila kitu anakijua na km ingelikuwa ni kweli watu wanakufa kwa idadi hiyo tungelimuona tu uso wake hata kama angejificha vp.you don’t get the point.. he himself admits ugonjwa upo, na anajua watu wanakufa,, anasema pia ‘tusitishane’
Hivi juzi si vyombo vyao vya habari viriripoti wamekufa 50 dar pekee. Ina maana vifo vilikomea siku moja haviendelei?Na hapa ndipo anapowajibu watoa data za uongo kwamba hali c nzr lkn cvyo km wao wanavyosema, mana yeye ndio yupo jikoni kila kitu anakijua na km ingelikuwa ni kweli watu wanakufa kwa idadi hiyo tungelimuona tu uso wake hata kama angejificha vp.
Eti vifo 50 per day zen cc tulio Dar tusihisi chochote!! Hivi vifo 50 kwa mkupuo wanavichukuluaje kwnz? Ukizingatia nchi hii haina vita wala disaster za mara kwa mara ambapo useme labda tutakuwa tumezoea (Mungu na azidi kutujalia) yn hawa jamaa ni wajinga sana, wanataka tufananeHivi juzi si vyombo vyao vya habari viriripoti wamekufa 50 dar pekee. Ina maana vifo vilikomea siku moja haviendelei?


Na wenye unawaambia hawawezi miliki training GPS watch unawachukulia aje humu ndani? Some of us are just too mature to start posting our stuff in hereheshima gani wakat unaniambia mm huwez ishi kwnye banda langu hvi ww unachukulia kila mtu simple humu ndani😂😂😂😂
miliki kwanza saa kama hio ukiweza sasa niulize habari ya nyumba yangu kama😂😂 ahahaha ww sema tu sina uwezo wakumiliki saa kama hio usilete habari ya matured hapaNa wenye unawaambia hawawezi miliki training GPS watch unawachukulia aje humu ndani? Some of us are just too mature to start posting our stuff in here
Bado anaikataa picha yake!Sawa nashukuru km co ww, ntaanza kuitumia km avatar yng![]()
Tusitishane ki vipi na wakati ugonjwa upo na unauwa, magufuli mbna anajichanganya kiasi hicho..you don’t get the point.. he himself admits ugonjwa upo, na anajua watu wanakufa,, anasema pia ‘tusitishane’
Walitekwa wangapi na bado hakukunja uso na kukemea, mwisho alisema eti watu wanajiteka ili kuichafua serekali..Na hapa ndipo anapowajibu watoa data za uongo kwamba hali c nzr lkn cvyo km wao wanavyosema, mana yeye ndio yupo jikoni kila kitu anakijua na km ingelikuwa ni kweli watu wanakufa kwa idadi hiyo tungelimuona tu uso wake hata kama angejificha vp.
Jaribu kuelewa comment yake kisha urudie kucomment tena,Tusitishane ki vipi na wakati ugonjwa upo na unauwa, magufuli mbna anajichanganya kiasi hicho..
Mbna yeye basi hatoki chato kurudi hku bado akiwaambia mpige kazi...
Think tiwe bro, hta yeye huo ugonjwa anauogooa tena sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwn data mnatoa kila siku, km watu wanakufa kawaida mbna mzike usike na serikali isitoe taarifa yyte ya kwamba mtu atakayekufa kw maradhi yyte atazikwa usiku..bali iliagizwa juu kwa juu na kufanyika kinyemela..Hivi juzi si vyombo vyao vya habari viriripoti wamekufa 50 dar pekee. Ina maana vifo vilikomea siku moja haviendelei?
Yani kitaa kimevamiwa na simba wanafanya yao halafu mwenye kiti anasema "msitishwe bana, eti tulimjaribu yule simba tukamuekea mapapai, oil na mbuzi akala lkn kondoo hakumlaa..Jaribu kuelewa comment yake kisha urudie kucomment tena,
Usipende kuweka ubishi kwenye kila kitu.