komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Wacha kupiga picha bro, ile pita pita tu mitaa ile ni noma..Aerial view from the far end ya mama Ngina Drive, sijapaona mahali popote, nadhani kwa sababu ya state house around that area, pale skyscraper zimeinuka kuruka, Kizingo arae., kupiga picha unaweza shikwa.,
Nilishawai chukua baiskeli yangu na kuamua kuzunguka hzo area, sasa nikawa nakatiza hyo barabara ya statehouse hadi florida na kurudi mpka uhuru na kazi..
Ndugu yangu trip ya nne wale ndume walinisimamisha halafu wakanitia mikwara sana..km sio id ya kazi mimi sai kwishnehi..nashuku walikua recce wale jamaa manake sio kw zile mbwembwe na roho mbaya
Sent using Jamii Forums mobile app


