Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,885
- 103,752
the only three level interchange in east africa 👏👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏
#Akilizahandshake#
CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala kikihboy
the only three level interchange in east africa 👏👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏
Sio mchezo.
usiniambie mumefkia hapa😂😂👇👇
Mbale ni bara na hakuna lockdown, western hakuna hunger, hio ni maoni ama mtaka likes., nothing like that in western., fuatilia mwenyewe., wacha kujiliwaza, nchi mko na kasoro kama sio neema ya mwenyezi Mungu Tz haingekua mahali ipo kwa sasa, upumbavu na uzembe mlio nayo ni ya ajabu. Shukuruni Mungu na suo Maguu., kila uchao anachemshausiniambie mumefkia hapa


Aibu sana 2020 bado mko LDC 😂 😂Aibu sn, yn 2020 bado mnapambana na cholera![]()
As if wewe uko na heshima kijana wa gongo la mbotosiku nyingine uje na heshima dont take everthing simple infront of ur eyes😂😂
I asked you a million times to prove your claims ukashindwaMbn ulipost picha yako humu wala hatujakusumbua sumbua
Wah pole bro. Enyewe wangekupata na camera wangekumiminia risasiAaaa!!we acha tu, yani siku hyo nilishukuru sana...
Mwngine alikua akiwambia mwenzake km "tunasubiri nn huyu jamaa ni gaidi na hana niya nzuri, si tumzungushe kule nyuma tumlishe shaba"
Yani nilijiskia mishipa yote imesimama, vile tu sikuwa na camera..
Sent using Jamii Forums mobile app
yani mumefkia hatua ya kula panya kisa njaa subhanallah aisee hapo ndipo jubilee tano tena ilipowafkisha nawahurumia sana bro😂😂😂Mbale ni bara na hakuna lockdown, western hakuna hunger, hio ni maoni ama mtaka likes., nothing like that in western., fuatilia mwenyewe., wacha kujiliwaza, nchi mko na kasoro kama sio neema ya mwenyezi Mungu Tz haingekua mahali ipo kwa sasa, upumbavu na uzembe mlio nayo ni ya ajabu. Shukuruni Mungu na suo Maguu., kila uchao anachemsha
Sent using Jamii Forums mobile app
heshima gani wakat unaniambia mm huwez ishi kwnye banda langu hvi ww unachukulia kila mtu simple humu ndani😂😂😂😂As if wewe uko na heshima kijana wa gongo la mboto
Sawa nashukuru km co ww, ntaanza kuitumia km avatar yngI asked you a million times to prove your claims ukashindwa

