ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
ww na mzungu nani anaakili zaidi ???😂😂
ww na mzungu nani anaakili zaidi ???😂😂
umepanic ni sawa 😂😂😂😂Yamekufika shingoni tayari mapema mapema
Sasa wewe ns jichoboy nani mkwel
Sent using Jamii Forums mobile app
taja hapo ni sehemu gani dar 😂😂 unafkiri kuna mabanda ya nguruwe huku yani mzungu asione mabanda uone wewe 😁😁😁 utasubiri miaka 300Kwani hupajui kaka😂😂😉😂😂 mie nije nikuonyeshe? Ngoja corona (kolona) iishe nije nikutembeze hiyo fishing village yenyu.
hahaha sasa hii unataka fananisha na ilala au😂😂😂😂😂 aisee munakazi sana nyinyiKila siku hapa unasema eti unajua Nairobi. Ni Nairobi gani unajua Kama hujui kwamba ukiwa Nairobi West unaona Upperhil yote? Nairobi West na Upperhil zimekaribiana kijana wa tandale so ukipiga picha ukiwa Nairobi West lazima itashika Upperhil, just the same way ukiwa Upperhil ni lazima camera ishike parts of Nairobi West if you are facing that side. This one below for example is a photo taken from uperhill but showing sections of Nairobi West View attachment 1437710
Pumbavu!!!...wewe unaniquote kwa nn?Lack of exposure inakusumbua. Halafu sitaki uniquote tena. Sitaki ku-engage na mtu mjinga
😂😂😂😂👇👇👇👇Ukweli ni ule ule, Dar dwellers over 70%., kwa sasa kama vile taarifa ilinakili, ni slum dwellers., Kibera is what % ya Nairobi (populationwise)?.,pambana na hali yenyu (haswa yako).
Waonyeshe flats ni za estates, sio business district, afadhali Nairobi mara millioni💪View attachment 1437717View attachment 1437718View attachment 1437719View attachment 1437720[UOTE="Nicxie, post: 35204566, member: 439796"]
Nairobi West 😂 😂 😂 😂 View attachment 1437661View attachment 1437662View attachment 1437664
imewauma sana magu kutofunga mipaka yani wamepigwa bao la kisogoni😂😂😂Kwa hiyo kwa akili yako hiyo kiduchu ulitaka rais awambie wasichape kazi kisa yeye yupo likizo? What a low mind is this!😳😳😳
wacha hasira matusi hayasaidii kupata chakula😂😂😂😂
sioni cha ajabu majengo ni yale yale prism, britam na UAP kwisha😂😂😂😂Upper hill ni moto wa kuotea mbali weeeView attachment 1437821View attachment 1437822View attachment 1437823View attachment 1437824View attachment 1437825
simple and clear😂😂👇👇👇Upper hill ni moto wa kuotea mbali weeeView attachment 1437821View attachment 1437822View attachment 1437823View attachment 1437824View attachment 1437825
Huyo ni slum addictedUsisahau pale makumbusho kuna barabara moja kalii inapita pale, mitaro mikubwa mpk ww unaingia, tena ukiwa umebebwa kichwani pia ghorofa za adabu zinajengwa pale, hebu jaribu cku utoke hapo kenya uje bongo zen pitia pale makumbusho uone tofauti ya kuishi Afrika na kuishi Afrika mpya co unamaliza maisha yako yote kuishi sehemu moja tu![]()
Tatizo wakenya mnaishi kwa slumI have no business coming to Tanzania. Siku kijikonyama itafika level ya parklands below niambie.
View attachment 1437487
I might change my mind and consider coming
Hawa watu wapenda sana pori,come to Nairobi,green city under the sun,so beautifulKumbe Dar pia kuna pori 😂 😂 😂
Mv Butiama
Wako busy kuikosoa Tz 😂😂😂si bora yule anaewaambie watu wake wafanye kazi haya msikieni huyu 😂😂😂👇👇👇 komora096
View attachment 1437834