ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
uhehehe mwenzio kaokota picha za google za nchi zingine kasema dar hapo vipi😂😂
uhehehe mwenzio kaokota picha za google za nchi zingine kasema dar hapo vipi😂😂
😂😂😂😂 laana inawatafunaDuu hii kali kwa hiyo isingekuwa hii pandemic asingewashauri wanaume wa kenya kuwapenda na kuwajali wake zao! Was he really sober or something hot was going on in his head? 😀 😀 😀 😳
ww huna ubavu wakuniumbua mm hata siku moja mark my words👌👌👌👌
Kujitetea pia sio mbyaww huna ubavu wakuniumbua mm hata siku moja mark my words![]()


Mwambieni awathibitishie basi, wacheni kulialiauhehehe mwenzio kaokota picha za google za nchi zingine kasema dar hapo vipi![]()
huna trust me na hutakua nayo mpaka yesu ashuke 😂😂😂😂
kakimbia tayari 😂😂😂 hatutamuona mpaka siku mbili zipite
Hiyo ni parklands gani ambayo kuna msitu pembeni. This is an aerial view of parklands. Nionyeshe hiyo msitu iko wapi hapa
👇👇👇👇👇👇Hiyo ni parklands gani ambayo kuna msitu pembeni. This is an aerial view of parklands. Nionyeshe hiyo msitu iko wapi hapa
View attachment 1437853
Kumbe alicrop kama kawaida yake 😂😂😂
Eti mtu analinganisha Upper hill na zile vigorofa viwili vya Kijikonyama. Watanzania jamaniUpper hill ni moto wa kuotea mbali weeeView attachment 1437821View attachment 1437822View attachment 1437823View attachment 1437824View attachment 1437825
That's Muthaiga estate kijana wa tandale. Then kuna Karura forest mbele kidogo and it borders spring valley as you can see in that picture. Karura forest haikaribiani na parklands hata kidogo
hvi wewe unafanya humu watu wapuuzi sana au sio 😂😂😂😂That's Muthaiga estate kijana wa tandale. Then kuna Karura forest mbele kidogo and it borders spring valley as you can see in that picture. Karura forest haikaribiani na parklands hata kidogo
uhehehe upperhill ina density gani hebu wewe nieleze hapa ikiwa CBD yenyewe haina density itakua upperhill😂😂😂😂Eti mtu analinganisha Upper hill na zile vigorofa viwili vya Kijikonyama. Watanzania jamani
mkenya akikwambia nje kuna mvua hata kama unaisikia toka nje ukahakikishe na macho yako😂😂😂😂Kumbe alicrop kama kawaida yake 😂😂😂
Says a person who lives in a dream house 😂 😂Tatizo wakenya mnaishi kwa slum
Send by APOLO 1
Ni wivu tu inawasumbua... The greenery in Nairobi wanaita misitu just because Dar lacks green spaces. Nyumba na apartments za Nairobi Wanasema ni za wazungu just because Dar kumejaa dream houses. The level of hate they spew out here is enough to kill!!!Hawa watu wapenda sana pori,come to Nairobi,green city under the sun,so beautiful