Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 21,149
- 29,762
Mwakani ndiyo sasa mtajua amjui
Send by APOLO 1
Mwakani ndiyo sasa mtajua amjui
Mwaka huu ni mbaya kwa Kenya mtakoma
hii video imenifurahis zan fast ferries wakifkuzana na azam marine live 😂😂👇 ila naona kama azam inatembea au macho yangu
Gay men ndio unaita wanaume, idiotsiku nyingine utulize kipapa hicho sio unakuja unafungua makalio mbele ya wanaume hapa![]()
Yani hii nchi cjui ni kwnn tunapoteza muda wetu ku argue nao, hii ni failed state, the same as Somalia etc, co size yetu kabisa bora kdg Uganda.
Eti wanatutisha na corona, wkt dawa tushapata na juzi tu nmetoka kumfusha uncle wng alikuwa na dalili km hzo, leo ameamka yuko safi kabisa na amenishukuru sn, wakenya nawaambia hili dudu cc tutamalizana nalo soon, kazi itabaki kwenuMwaka huu ni mbaya kwa Kenya mtakoma
Send by APOLO 1





SureNyie c mabingwa wa sifa huwa mnafanya kila hila ili tuonekane tupo sawa ata ikiwezekana kufuta kenya kuweka Tz, no slums in Tz![]()
aisee sijapata kuona hii nchi imelaaniwa
nchi hii haiishiwi vituko Kwn tena mnasubiria dua gani lipite ndio mtu overtake hyo mwakani yenuMwakani ndiyo sasa mtajua amjui
Send by APOLO 1
Hahaaa!!sai slang imebadilika tena, sio mwakani tena imekua mwaka huuMwaka huu ni mbaya kwa Kenya mtakoma
Send by APOLO 1


Tuwa overtake nn ss, au yale makaratasi ya Google yanayoandika upuuzi wa GDP, kila kitu tupo mbele yenu au unajifanya mwehuKwn tena mnasubiria dua gani lipite ndio mtu overtake hyo mwakani yenu
Sent using Jamii Forums mobile app


Safi sana, naona kwa upande mwingine corona imeiamsha GOT kwmb cargo plane ni muhimu sana, I hope mwakani wataweka order hata ya ndege mbili za kuanzia
Itakuwa good mnoo.Safi sana, naona kwa upande mwingine corona imeiamsha GOT kwmb cargo plane ni muhimu sana, I hope mwakani wataweka order hata ya ndege mbili za kuanzia
Ikumbukwe kwamba hili jiji consultant na planner ni Magu mwnyw so lazima liwe la mfano mita kadhaa hutakiwi kusogelea barabara, eneo hili ni rangi fulani ya paa, eneo hili ni open space


