Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hii video imenifurahis zan fast ferries wakifkuzana na azam marine live 😂😂👇 ila naona kama azam inatembea au macho yangu


Hizi game hua nazipenda sana, kama sio ubusy ningesafiri kila siku. Ila naona azam kaachwa, hebu jaribu kucheki hayo maji mwanzoni na mwshoni
 
Mwaka huu ni mbaya kwa Kenya mtakoma

Send by APOLO 1
Eti wanatutisha na corona, wkt dawa tushapata na juzi tu nmetoka kumfusha uncle wng alikuwa na dalili km hzo, leo ameamka yuko safi kabisa na amenishukuru sn, wakenya nawaambia hili dudu cc tutamalizana nalo soon, kazi itabaki kwenu

Rushwa
Uzembe
Locusts
Other pests invasion
Hunger
Companies bankrupt including KQ
Al shabab
Huge country liabilities (from Chinese)
 
Cjui km komora096 utachomoka hapa
Screenshot_2020-04-30-15-34-10.jpeg
 
Back
Top Bottom