Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya walizani tuna Azam pekeake
Yaani Azam walibweteka kinoma imagine kupata tiketi mpaka uunge foleni na ulanguliwe mpaka hivi majuzi coronavirus ndo wameanza mobile payment!

Mimi binafsi sipendi mtindo wao wa ku-assemble hizi boat nje ya nchi! Mpaka ya VII bado hawaoni umuhimu wa ku-assemble nchini na ku-transfer knowledge? Zan air na Azam wanaweza shirikiana kwenye hili! La sivyo mpango wa GoT kuanza kujenga meli Kilwa, utawatoa nje ya game!
 
leasing of 15 ambulances costed them ksh 42m.. this amount is enough to buy 10 ambulances
IMG_1588238551.352130.jpg

 
Back
Top Bottom