Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hehehe eti enhh๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡View attachment 1434933View attachment 1434935
What is this!?
Look at what we meaning!!! Kenya has 20 times tarmac than Tanzania
IMG_20200429_203740.jpg
IMG_20200429_203655.jpg
IMG_20200427_172104.jpg
IMG_20200427_165607.jpg
 
The progression of the 2 expensively dream houses in Dodoma ๐Ÿก๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐ŸŒ โ„ข๏ธ

Damn look at the details ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜


Tanga Stones (vertical)

View attachment 1435602



Sediment Layers (horizontal)

View attachment 1435603
Vitu vidogo lakini vimekusumbua mwezi mzima!? Kenya hilo si ajabu. Huenda unajaribu jutuajabisha, kwa taarifa yako hamna lolote hapo.
IMG_20200429_153700.jpg

IMG_20200425_210944.jpg

IMG_20200427_171529.jpg
IMG_20200427_171346.jpg
IMG_20200427_171224.jpg
IMG_20200427_171250.jpg
IMG_20200427_171408.jpg
IMG_20200427_170426.jpg
 
Vitu vidogo lakini vimekusumbua mwezi mzima!? Kenya hilo si ajabu. Huenda unajaribu jutuajabisha, kwa taarifa yako hamna lolote hapo.
View attachment 1435618
View attachment 1435619
View attachment 1435622View attachment 1435624View attachment 1435627View attachment 1435629View attachment 1435631View attachment 1435634
Mwalimu wanjara jaribu kuwa mwelewa, saivi tunatakiwa kupost vitu vipya co kila cku unazunguka zunguka mitaa hyo hyo ya cages kwa kutaka kuaminisha watu kwmb banda za kuku zipo kenya nzima.
Narton amepost vitu vipya kabisa havijawahi letwa humu so na ww leta vipya km unavyo.
 
The kind of politicians in our Bunge!



Halafu huyu fala ana ulimbukeni na Kenya haachi kuitaja sijui kwa vile anatoka mpakani! ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ โ˜ โ˜ โ˜
 
Mwalimu wanjara jaribu kuwa mwelewa, saivi tunatakiwa kupost vitu vipya co kila cku unazunguka zunguka mitaa hyo hyo ya cages kwa kutaka kuaminisha watu kwmb banda za kuku zipo kenya nzima.
Narton amepost vitu vipya kabisa havijawahi letwa humu so na ww leta vipya km unavyo.
Vipya vipi!? Tumemuelimisha hapa kuwa hayo si mapya wala mageni hata humu. Yeye basi awe mgeni.
Vijumba anavyo post vidogo si vya kutosha kujazia uzi.

Ona majumba kama haya Kenya, sasa tukianza kupost moja moja!!!?
2385059_IMG_20200430_181757.jpg
IMG_20200430_181319.jpg
IMG_20200430_180817.jpg
IMG_20200430_180423.jpg
 

Attachments

  • IMG_20200430_181757.jpg
    IMG_20200430_181757.jpg
    61.1 KB · Views: 5
The kind of politicians in our Bunge!



Halafu huyu fala ana ulimbukeni na Kenya haachi kuitaja sijui kwa vile anatoka mipakani!
Njaa inawasumbua pia tatizo kubwa kwa ss ni Jpm anafanya kwa vitendo yale yote waliyokuwa wanayaongea so anatishia vibarua vyao, siasa ya Afrika ni unafki mtupu na ndiyo maana huwa nawaza kwmb demokrasia imeharibu mambo mengi sana Afrika cz tumeipokea bila kuielewa, demokrasia haiwezi ku operate kwny njaa, hata nchi zilizoendelea zilisubiri njaa imeisha ndio ikaingiza demokrasia, c umeona madhara ya demokrasia kenya, kila mtu mjuaji, kila mtu anataka ifanyike anavyoona yeye, unadhani kuna kuendelea hapo? Km mnataka maendeleo ya kweli ni lazima mko concentrate power kwa mtu mmoja mnayemwamini zen wengne mkubali kuwa wajinga kwa kipindi fulani ili mvuke, hata China iko hvyo, hata Amerika ilikuwa hvyo na co kila mtu mjuaji, ukiuliza eti tuna haki ya kui question serikali yetu, pumbavu mtasubiri sana nawaambia, cc tuacheni na ujinga wetu but we are on the right track.
 
Back
Top Bottom