Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hehehe thats an international airline bana sii hii yenyu local hapo, tou have to get cabin crew from different countries to cater for non english speakers i.e. asians, ama hujui why emirates, Qatar employ cabin crew all over the world?

Sent using Jamii Forums mobile app
Na ndiyo maana faida yote wanachukua wao na bdo mnajisifu, poor Kunyans
 
LOL kwa taarifa yako kwa Tanzania katika kada zinazolipwa mshahara mzuri, mafundi ujenzi wapo, Usifananishe mafundi wa Tanzania na Kenya


Mafundi wenu wakija huku wanakua vibarua wa kutumwa materials huko sites
Naona umekuja pazuri kweli, uliza watu wa mipakani ndipo utapata jibu..
Au peleka hii mada section ya tanzania uone vile utakula za uso..

Eti mafundi tanzania wanakula hela nzuri kuliko kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Is that an ets2 game? Btw hzo basi mnazoita ma3 hata india zipo na ndiyo maana hata kwny hako ka game hakuna mazingira yoyote kuonesha kwmb hyo ni kenya, iyo ni game wanatengeneza watu wa ICT second year uku kwetu, leta map ya ets2 ya kenya km kweli ww ni kidume, maamaaeee
Lazima ajue kutofautisha ets2 game na hicho alicho leta hapo 😂😂😂
 
Back
Top Bottom