Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yaani hapo tuliwasaidia sana ila kama kawaida yao washa sahau
Wajinga hawa, miaka mingi tumekuwa tukiwasaidia lkn tulikuwa hatuongei ila tumeanza kuongea baada ya kuona wanatupanda kichwani ilihali hawatuwezi kwa chochote, now tumekuwa tukiwapa kichapo kila kona na bado ngj joka la umeme litue ndio tutazika hii thread rasmi.
 
Wajinga hawa, miaka mingi tumekuwa tukiwasaidia lkn tulikuwa hatuongei ila tumeanza kuongea baada ya kuona wanatupanda kichwani ilihali hawatuwezi kwa chochote, now tumekuwa tukiwapa kichapo kila kona na bado ngj joka la umeme litue ndio tutazika hii thread rasmi.
Halafu bila aibu anasema watanunua Mexico,

Hivi anafahamu GMO kweli huyu 😂😂😂

Mwaka jana ni nini kiliwaleta wale mawaziri wao kuomba kuuziwa mahindi!
 
Meanwhile
Screenshot_2020-04-29-23-10-21.jpeg
 
afadhali hao ni wapishi kuna hawa sasa wafanyakazi wakichina ni 5000 alaf wakenya ni 1300 alaf wako hapa wanafungua makalio yao

Ndiyo maana wananchi wameona heri kufumua miundombinu mana hawana faida nayo. Dah mpk sweeper
 
Back
Top Bottom