Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ww unayeishi huku Tz hebu waambie ukweli wenzio utofauti wa huku na huko kwao acha kuendekeza uzalendo, mana ww na kazi yako ya ualimu japo unapewa mshahara kiduchu ila bado una survive na unabaki na visenti vya kutuma ushagoo.
Sasa unamlazimisha mtu aseme ukwel unaoendana na mawazo yako..
Tulia awape dozi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Obama ni Muzungu, Mama yake ni blond white woman kutoka Arkansas, USA, Obama amelala kwenye tumbo la Mwanamke Muzungu, hivyo acheni kujidanganya kwamba he is the son of soil, which soil? Arkansas, Ireland au wapi?
Moh dewiji kalala katila tumbo la msukuma[emoji848][emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila mkuu kwa ommy Dimpoz hata mm nna wasi wasi naye, ana tabia za ajabu ajabu sana yule
Ila si kumzushia hivyo rich players (esp.politicians) huwa wanapenda wingmen who r big names! A reason u see he likes to hang out with likes of Ali Kiba and Ommy Dimpoz!
 
Aliefanya akalala katika tumbo la mwanamke mzungu ni shahawa kutoka katika makende ya mtu mweusi,Tena kwa taarifa yako Hakuna siku Obama alijiita mzungu siku zote amejitambulisha Kama African American.
Obama ni Muzungu, Mama yake ni blond white woman kutoka Arkansas, USA, Obama amelala kwenye tumbo la Mwanamke Muzungu, hivyo acheni kujidanganya kwamba he is the son of soil, which soil? Arkansas, Ireland au wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
atcl imeanzishwa juzi usitegemee profit within a short period of time hasa kwenye big investment kama hio 😂😂 muki kwenye game miaka 50 eti bado munamiliki ndege tatu alaf leo munatafuta mchawi wa loss
So in short bado inaendeshwa kwa hasara?
 
Aliefanya akalala katika tumbo la mwanamke mzungu ni shahawa kutoka katika makende ya mtu mweusi,Tena kwa taarifa yako Hakuna siku Obama alijiita mzungu siku zote amejitambulisha Kama African American.

Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na hawa vilaza wajitekenye wenyewe. Mbona unasumbuana nao? Eti Obama ni mzungu! Tangu lini??Wivu ni kitu mbaya sana
 
Korona hata itakua kabla iniue Mimi, serikali yenu inaficha ukweli watu wanakufa ,maambukizi yamekithiri Hadi madereva wa kitanzania wanapatikana na maambukizi huko uganda ilihali Tanzania wanasema wameushinda korona kwa kufukiza.
Rudi kwenu Corona inakusubiri, vitanda hospitali hakuna na mtakufa kama ngedere wale velvet monkeys[emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom