Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nani alisema za mwanamke ndio zinakua nyingi ,it's 50/50 enda usome biology siku zote kwa Mila za kiafrika mtoto anakua wa baba
Kwa hiyo unataka kumaanisha kuwa gametes za mwanaume Ndio zinachukua asilimia kubwa katika utengenezaji wa mtoto? Aisee wewe kenge ni mpumbavu. Kuwa proud kuwa ana “ukenya”ndani yake maana ana asili nyingine pia. Ila usiseme kuwa hana uzungu ndani yake. Mitochondria zote alizonazo mwilini mwake zinatoka upande wa mama yake ambaye ni Mzungu. Malezi yake, accent yake vyote ni vya kimarekani. Halafu, uelewe tofauti Kati ya “African American” na “Kenyan”
Ndio maana hata akachapisha kitabu , dreams from my father, mbona hakusema dreams from my mother?.
article-2146034-1325B465000005DC-501_634x462.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani alisema za mwanamke ndio zinakua nyingi ,it's 50/50 enda usome biology siku zote kwa Mila za kiafrika mtoto anakua wa babaNdio maana hata akachapisha kitabu , dreams from my father, mbona hakusema dreams from my mother?.View attachment 1432305

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa, najua kwamba ww ni mkenya upumbavu mmeumbiwa ngj nikukubalie, ok Obama ni mkenya kwahyo ulitaka kumaanisha nini?
 
Back
Top Bottom