Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yeye anamfahamu joho tu Kama gavana wa Mombasa Hana lolote alijuwalo kumhusu Wala biashara zake.
Achana naye huyo, jana alishindwa kuelewa screenshots zake mwenyewe..
Haya nikamuuliza tycoon nikuanzia na kiasi gani cha pesa bado hajielewi...

Kulingana na yeye joho sio tajiri wala successful businessman.
Yani nilicheka sana jana

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeye anamfahamu joho tu Kama gavana wa Mombasa Hana lolote alijuwalo kumhusu Wala biashara zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ww unayeishi huku Tz hebu waambie ukweli wenzio utofauti wa huku na huko kwao acha kuendekeza uzalendo, mana ww na kazi yako ya ualimu japo unapewa mshahara kiduchu ila bado una survive na unabaki na visenti vya kutuma ushagoo.
 
I mean him.
[emoji3][emoji3] Wakenya bhn
True son of the soil.
OBAMA-WITH-MAASAI-MORAN.jpeg
obama-sister-and-grandmother.jpeg
obama-in-nairobi.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siwezi haribu muda wangu kuishi Tanzania, Mimi hua nakuja kuinua uchumi wenu kwa kuchangia katika mfuko wa taifa kupitia utalii.
Ww unayeishi huku Tz hebu waambie ukweli wenzio utofauti wa huku na huko kwao acha kuendekeza uzalendo, mana ww na kazi yako ya ualimu japo unapewa mshahara kiduchu ila bado una survive na unabaki na visenti vya kutuma ushagoo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom