Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Aliefanya akalala katika tumbo la mwanamke mzungu ni shahawa kutoka katika makende ya mtu mweusi,Tena kwa taarifa yako Hakuna siku Obama alijiita mzungu siku zote amejitambulisha Kama African American.

Sent using Jamii Forums mobile app


Siyo swala la yeye kujiita nini, bali ni Biology, Obama amelala kwenye tumbo la Muzungu ana genes za Muzungu hivyo hawezi kuwa mtu mweusi, plus Obama ana Irish roots kutoka Moneygall Ireland ancestral land ya Mama yake na amefika huko na hata wako proud naye, ...

1587986981137.jpeg
 
Aliefanya akalala katika tumbo la mwanamke mzungu ni shahawa kutoka katika makende ya mtu mweusi,Tena kwa taarifa yako Hakuna siku Obama alijiita mzungu siku zote amejitambulisha Kama African American.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo unataka kumaanisha kuwa gametes za mwanaume Ndio zinachukua asilimia kubwa katika utengenezaji wa mtoto? Aisee wewe kenge ni mpumbavu. Kuwa proud kuwa ana “ukenya”ndani yake maana ana asili nyingine pia. Ila usiseme kuwa hana uzungu ndani yake. Mitochondria zote alizonazo mwilini mwake zinatoka upande wa mama yake ambaye ni Mzungu. Malezi yake, accent yake vyote ni vya kimarekani. Halafu, uelewe tofauti Kati ya “African American” na “Kenyan”
 
Kwa taarifa yako am not a teacher and I don't live in Tanzania hata hivyo I still have some bucks to keep me in Tanzania
Huna lolote we ticha tu hapa bongo, utalii ufanye ww hebu tupia picha tuone uko mbugani ama sehemu yyte ya utalii
Why do you want my photo? Anyway uwezo wa kuishi Tanzania ninao Tena kwa maisha mazuri tu
IMG20200427144851.jpeg
IMG20200427144842.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
A visual representation of some of my ideas regarding Kigamboni and the Kivukoni waterfront. I’m not done yet btw
80E974DD-5201-4DA9-A9B4-368F7B8DE937.jpeg
 
Back
Top Bottom