Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndio nakwambia aende akadanganye watu wa somalia hko

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂👇👇👇👇
BEBA026C-624E-4825-9D65-E9C7AD6BF61A.jpeg
 
Achana naye huyo, jana alishindwa kuelewa screenshots zake mwenyewe..
Haya nikamuuliza tycoon nikuanzia na kiasi gani cha pesa bado hajielewi...

Kulingana na yeye joho sio tajiri wala successful businessman.
Yani nilicheka sana jana

Sent using Jamii Forums mobile app
uhehehe msaidie kwamba leo mutudanganye joho ana miliki nini au mutuambie kua joho anawaaibia wakenya hapo nitawaelewa😂😂

na bado utacheka sana kwamba joho ni tycoon 😂😂😂😂
 
ndio ile ile mpaka leo 2020 inamiliki ndege 3 na ndio ilele mpaka leo 2020 inaendesha hasara kubwa na nafkiri ndio kampuni pekee africa imeendesha hasara mfululizo wa miaka 8[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na atcl ndio ile ile amabayo haijawahi kutengeneza faida since 1977..bado mnasubiria ndege zirudishe tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni ile ile iliokufa na ikafufuliwa upya na magufuli[emoji116][emoji116][emoji116] na ndio ilele iliokuwa haina ndege na sasa ina ndege 11 na tatu zinakuja hapo vipi[emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 1432103
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116]
Na atcl ndio ile ile amabayo haijawahi kutengeneza faida since 1977..bado mnasubiria ndege zirudishe tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwa serious basi jomba...ksh2300 huaga anapewa heshima ya hali ya juu hko kw watu wa kawaida[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli ldc ni ldc tu
Hio ni self,kwanza hayo maeneo ambayo nimeataja nimeapa Kodi ya juu kwa uhalisia wanalipa kwanzia elfu 25000 hadi50000 Tanzania ukipata mtu analipa chumba 50000 anapewa heshima katika jamii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeskia hku[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] View attachment 1432102

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwa serious basi jomba...ksh2300 huaga anapewa heshima ya hali ya juu hko kw watu wa kawaida[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli ldc ni ldc tuUmeskia hku[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂👇👇👇👇
goba pekee chumba elf 50👇👇👇 na nimbali sana kutokea mjiniView attachment 1432104
 
Back
Top Bottom