Nikisema mjini wanaelewa!!Dar es salaam tanzania
mleta io picha nimemuuliza ameitoa wapi akaanza kulialia, akakimbia... hapo sio kibera wala hapafanani kabisaHaaahahahah unakataa kwenu sasa😀😀😀
lakini mbona akili yako imegwama hivi? Kibera upgrade ni process iliplaniwa 2012, ikaanza kufanyika 2015,

Kama gani na ganiHilo jengo la britam ni vyema likaitwa britam antenna ,kinacho shangaza kwa Nairobi kwa nn majengo yote nusu ni antenna
Uzuri hizo nyumba si mabanda kama ya Nairobi kiberani kama vile niokote izi picha kwa internet kisha niseme ni dar na wala sio dar ni Mwanza, Tz. View attachment 520868 View attachment 520871
lakini hizo picha za Delbert hazipatikani Kenya nzima
Enyewe mtu akibarikiwa na ujinga ni vibaya. Hebu tafuta any comment since hii page ianze where kenyans claim Nairobi is bigger than Dar. Hakuna mtu amekataa but size itasaidia aje bro. Dar is twice as big as New York City, does that prove anything?maana dar 1590.5 km sq imekusanya nairobi 696 km mombasa 300km sq kisumu 200km sq eldoret 50km sq na waongeze zingine pia bado
To make it simple for you, download GETTYIMAGES app, then search any these "Nairobi, Nairobi City or Nairobi slum" you will see those pictures with their titles, the only thing that app won't allow you is take a screenshot but you can download themmleta io picha nimemuuliza ameitoa wapi akaanza kulialia, akakimbia... hapo sio kibera wala hapafanani kabisa
Msee haikosei saa zote uko media za kenyapolitics kidogo.
![]()
miaka miwili iliyopita niliwahi sikia kuwa kuwa huyo "msee" ni m.s.e.n.g.e.
yah nipo media za kenya also last week but one i was commenting directly from nairobi.Msee haikosei saa zote uko media za kenya