Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bongo
estim-construction-viva-towers-tanzania.jpg
 
unafkiri under construction zilizo bongo unafkiri mchezo do u think watu wamelala😀😀😀😀😀😀
mnalala usingizi wa pono,nimeshakwambia Nairobi inaongoza Africa nzima kwa majengo marefumarefu,likiwemo supertall lenye towers mbili refu zaidi,je nyie mko na plans zipi za building a skyscaper of such magnitude??mtatiririka machozi humu na usiahi ikibidi
 
Sasa mbona hamna cha kujitambia zaidi ya hiyo Nairobi na hiyo mombasa au haina kitu .

Wakenya bhana watu ovyo sana .
laleni usingizi wa pono sisi huku miundo mbinu na magorofa utafanyia nini nairobi?
 
mnalala usingizi wa pono,nimeshakwambia Nairobi inaongoza Africa nzima kwa majengo marefumarefu,likiwemo supertall lenye towers mbili refu zaidi,je nyie mko na plans zipi za building a skyscaper of such magnitude??mtatiririka machozi humu na usiahi ikibidi
ndio maana hua nawaambia sio ile tanzania ya 90s hii ni 2017 kazi munayo sana....tunajenga kila kona ya 1590.5 km
 
mnalala usingizi wa pono,nimeshakwambia Nairobi inaongoza Africa nzima kwa majengo marefumarefu,likiwemo supertall lenye towers mbili refu zaidi,je nyie mko na plans zipi za building a skyscaper of such magnitude??mtatiririka machozi humu na usiahi ikibidi
Hahhhahaha ona sasa ulivyo mpumbavu unaturingia ghorofa wakati wewe unaishi huko kibera au mathare au kwenye apartment aliyojenga mwanaume mwenzio.

Wakenya ni watu ovyo ovyo sana .

Wewe umeprove hilo.
 
ndio maana hua nawaambia sio ile tanzania ya 90s hii ni 2017 kazi munayo sana....tunajenga kila kona ya 1590.5 km
Hata mfanye yepi,korogakoroga zenu,longolongo zenu na yepi,hakuna siku Dar is slum itafikia ukwasi na ulimbwende wa jiji kuu Africa mashariki na ya kati Nairobi,mji uliosukwa na kutakasika Dunia nzima,hivi watu kule Marekani wanajua kitu kama Dar is slum,au kwao ni ndoto tu?Nairobi inajulikana kotekote dunia nzima,sijui tutawafunza vipi nyie limbukeni wa kutupwa
 
politics kidogo.
c78429b46d8856591f000cc7129a572f.jpg

miaka miwili iliyopita niliwahi sikia kuwa kuwa huyo "msee" ni m.s.e.n.g.e.
 
Hahhhahaha ona sasa ulivyo mpumbavu unaturingia ghorofa wakati wewe unaishi huko kibera au mathare au kwenye apartment aliyojenga mwanaume mwenzio.

Wakenya ni watu ovyo ovyo sana .

Wewe umeprove hilo.
wajua niishiko wewe limbukeni tupwa tupwa,na jee hata kiingereza wakijua kweli wewe? Nenda kasome economics ili uache ukurupukaji wa maneno yasiyo halisi.
 
Hata mfanye yepi,korogakoroga zenu,longolongo zenu na yepi,hakuna siki Dar is slum itafikia ukwasi na ulimbwende wa jiji kuu Africa mashariki na ya kati Nairobi,mji uliosukwa na kutakasika Dunia nzima,hivi watu kule Marekani wanajua kitu kama Dar is slum,au kwao ni ndoto tu?Nairobi inajulukana kotekote dunia nzima,sijui tutawafunza vipi nyie limbukeni wa kutupwa
hahaha sasa mbona unatapika povu sana😀😀😀😀😀.....mm nakwambia go east or west still nairobi itaingia kwa dar mara 3....ule muda wa kujiona superior umeisha sasa hvi nyani haangaliwi usoni😀😀😀😀😀
 
wajua nishiko wewe limbukeni tupwa tupwa,na jee hata kiingereza wakijua kweli wewe? Nenda kasome economics ili uache ukurupukaji wa maneno yasiyo halisi.
English ni lugha tu na sio elimu😀😀😀😀😀😀
 
Hata mfanye yepi,korogakoroga zenu,longolongo zenu na yepi,hakuna siku Dar is slum itafikia ukwasi na ulimbwende wa jiji kuu Africa mashariki na ya kati Nairobi,mji uliosukwa na kutakasika Dunia nzima,hivi watu kule Marekani wanajua kitu kama Dar is slum,au kwao ni ndoto tu?Nairobi inajulukana kotekote dunia nzima,sijui tutawafunza vipi nyie limbukeni wa kutupwa
Duh....porojo katika ubora wake
 
Back
Top Bottom