ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Najua ingekuwa ndio imepiga AFC, ungesikia hapa!Wanjala singida ndiyo imepanda daraja haijacheza hata mechi moja ya ligi kuuu.![]()
![]()
![]()
![]()
Unajisifia kwa mambo madogo mnooo
ni lazma uchague ndio uone kibera. aerial view ya jiji la nairobi hauwezi ona kibera. lakini darislum iko 92% unplanned. yani hapa ghorofa,, chini yake mharo ndio maana aerial view yake haileti shangweUmemaanisha picha kama hizi?
Angalia pich vizuri,do you notice there is NO TIMES TOWER IN THE BACKGROUND???STOP BRINGING HERE THE1980 PICTURES,NAIROBI HAS UNDERGONE A MAJOR TRANSFORMATION!!!hapa wapi
![]()
This is soo 1992hapa wapi
![]()
pole sanani lazma uchague ndio uone kibera. aerial view ya jiji la nairobi hauwezi ona kibera. lakini darislum iko 92% unplanned. yani hapa ghorofa,, chini yake mharo ndio maana aerial view yake haileti shangwe
haha... umerealize???Angalia pich vizuri,do you notice there is NO TIMES TOWER IN THE BACKGROUND???STOP BRINGING HERE THE1980 PICTURES,NAIROBI HAS UNDERGONE A MAJOR TRANSFORMATION!!!
Izi bakora wa Kenya wakiziona machozi yana walenga lenga lakini wanajikaza
Hawana ardhi ,ardhi yote Nairobi inamilikiwa na ma bwanyenye na wananchi wa kawaida wamebaki kuishi kibera au akijikaza zana anaishi kwenye dormitory zilizo jengwa na wanaume wachache uki Nairobi , imagine upo na mke kibera au kwenye dormitory kama student ,its real painful

Yeah hawa jamaa hata dar is slum they dont have upgrade plans huku sisi we are almost finalizing kibera slum into apartment community.haha... umerealize???
Sasa hiyo ni tofauti na singida united mkuu hawa wajamaa singida huwezi kulinganisha na hao nakuru wanaexperience na ligi kuuu yenu tena walitumia uzoefu tofauti sana na singida halaf kikosi cha simba wengi wap nje ya nchi kambi kujiandaa na mechi za kimataifa mashindano yenyewe yameshtukizwa hilo nalo huoni??Najua ingekuwa ndio imepiga AFC, ungesikia hapa!
Hata Nakuru All Stars ya 2006 imechapa Simba ya 1936.
Acha vijisababu. Mbona Wabongo mnavijisababu kwa kila kitu??
izo ndio shida za kuwa Ldc. budget hairuhusuYeah hawa jamaa hata dar is slum they dont have upgrade plans huku sisi we are almost finalizing kibera slum into apartment community.
Photoshop inaonekana hapiUmemaanisha picha kama hizi?
Wote tunajua this picture would have a title of "Jaw dropping Kenyan suburbs" if it was taken by any of Kenyan in JF simply because we wouldn't have seen the background of those buildingsni lazma uchague ndio uone kibera. aerial view ya jiji la nairobi hauwezi ona kibera. lakini darislum iko 92% unplanned. yani hapa ghorofa,, chini yake mharo ndio maana aerial view yake haileti shangwe
by the way.... i had doughts... io miti katikati ya slums na izo towers is a clear proof.Photoshop inaonekana hapi
Ujenzi wa SGR Kuanzia Dar
Naliona mkuu ila, lishatokea, na kwamba likindikwa kwenye kumbukumbu halitaandikwa kwamba Simba ilikuwa B au A.Sasa hiyo ni tofauti na singida united mkuu hawa wajamaa singida huwezi kulinganisha na hao nakuru wanaexperience na ligi kuuu yenu tena walitumia uzoefu tofauti sana na singida halaf kikosi cha simba wengi wap nje ya nchi kambi kujiandaa na mechi za kimataifa mashindano yenyewe yameshtukizwa hilo nalo huoni??