Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahahahahah! Kuna moja nimeona nikacheka sana! "Eti waonee huruma" Ukiangalia ni pavement ya cabro blocks Surely hawa jama wetu huenda ni vile hawajaona mambo mengi! Daaah
hehehe tumeambiwa tusome namba bana....
"hii ni bongo ya 2017 bana"
 
Yeah nmeona unajua vitu ckuexpect uzijue....alafu nlikusho utafute tusker cider iko na taste ya apple
ec7a668f36ff371f4874f8edb8607545.jpg
kadoda ni mguyz wa mama nitilie usimpatie culture shock...
 
wewe ndio bwege kwelikweli,ndio maana dhahabu mloibiwa na wale wenye kiingereza halisi kusaini kandarasi imekuwasha kwelikweli.laleni kabisa
Kuonyesha kwamba wewe ni lofa bwegemtozeni ona unachachamaa kuleta matusi katika forum ya kitanzania nenda ukatukane kwenye miforamu yenu .

Jifunze unapokuwa ndani ya nyumba ya watu uwe mpole .

Usijifanye mjuaji .

Wakenya ustaarabu ni zero.

Naamini unatamani kuwa mtanzania hahahah

Njoo huku ardhi ni bwelele hakuna shida ya njaa.

Hakuna ukabila huku .

Welcome Tz tukufundishe kiswahili safi na ustaarabu uliotukuka sio huo wa kwenu umekaa ki-barbarian.uncivilized,primitive.
 
jikumbushe kidogo hizo bakora hapo chini nilizowachapa siku kadhaa zilizopita.
Hehehehehe hawana hata nyumba zao walizojenga wenyewe wanaishi kota maisha yao yote hahahahah.

Wakenya watu Wa ovyo sana.
 
Hahahahahah! Kuna moja nimeona nikacheka sana! "Eti waonee huruma" Ukiangalia ni pavement ya cabro blocks Surely hawa jama wetu huenda ni vile hawajaona mambo mengi! Daaah
Hua napenda picha unazopost Ila unahabari flan hv za kuponda kila kitu,sioni logic apo,kuna vitu inabidi ukubali tu sio lazima uangalie maneno yaliambatana na picha! !
 
Hua napenda picha unazopost Ila unahabari flan hv za kuponda kila kitu,sioni logic apo,kuna vitu inabidi ukubali tu sio lazima uangalie maneno yaliambatana na picha! !
Safi kaka! Nakubali! Nikunyamaza mara hii!
 
Hehehehehe hawana hata nyumba zao walizojenga wenyewe wanaishi kota maisha yao yote hahahahah.

Wakenya watu Wa ovyo sana.
Hiyo Dar yenu tunaona tu nyumba zinakaa refugee camps imezingira mji mzima.
.hizo ndio unasema ndugu
 
Jaman swali langu kuhusu jomo kenya ta intl airport mbn cjibiwi?au ndo mna mina habar?
 
someone post this guy photos of The JKIA.....
3 More terminals are underway too
 
someone post this guy photos of The JKIA.....
3 More terminals are underway too
Terminal zipi..unataka utudanganye na ujisifie ..was going on JKIA is refurbishment of old terminals kama ckosei 1d na 1e ...mna terminal 2 tu ..nnacho uliza ni je jkia Inazo jet bridge za ku support a380 ?
 
This Dar is like a city that has been in slumber and suddenly woken up.....
Dar is growing
Nairobi is growing too
Good for the region. ....isn't it.
 
Terminal zipi..unataka utudanganye na ujisifie ..was going on JKIA is refurbishment of old terminals kama ckosei 1d na 1e ...mna terminal 2 tu ..nnacho uliza ni je jkia Inazo jet bridge za ku support a380 ?
The greenfield project that was abandoned around 2014 has been revived. ...just heard the transport cs confirm that funds have already been sourced. ....56 billion Kenya shillings. ..hapa kazi tu......
 
Yeah
This Dar is like a city that has been in slumber and suddenly woken up.....
Dar is growing
Nairobi is growing too
Good for the region. ....isn't it.
It is good for both of us...Ila tatizo lenu nyie mnajifanya mnadharau na mko superior kuliko wote...BTW greenfield haijawa revived
 
Back
Top Bottom