Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

All under the GREEN CITY IN THE SUN,
From left.UAP tower,KCB tower,Britam tower,Rahimtulla trust building,Times tower,Cooperative Bank House,Prism tower,KICC
18947544_1490732384327532_8129317392661610496_n.jpg



source
Hilo jengo la britam ni vyema likaitwa britam antenna ,kinacho shangaza kwa Nairobi kwa nn majengo yote nusu ni antenna
 
Wakenya wanapenda sana kujisifu mbele za watu. Ukitaka kugombana na mkenya mwambie unakuja nyumbani uone moto wake. Choo cha kulipia utadhani uko stendi unasafiri. Wangepambana kwanza na alshabaab na kipundupindu ningewaona wa maana.
na njaa huku umaskini ukiwaua taratibu
 
These people thought that Nairobi was just the CBD when this thread started. I guess the reality has dawned on them.Nairobi is spreading like bushfire with modern estates and highrise buildings. .....from Machakos county to Kajiado to kiambu. .....hiyo kijidaresalaam chao ina kazi bado sana
Na tuliwaambia kwa kuwaonea huruma na kinairobi chenu kidogo leteni nchi nzima ya Kenya ipambane na DSM usikie sana sijui metro sijui nn ww leta nchi nzima ya kenya
 
Na tuliwaambia kwa kuwaonea huruma na kinairobi chenu kidogo leteni nchi nzima ya Kenya ipambane na DSM usikie sana sijui metro sijui nn ww leta nchi nzima ya kenya
maana dar 1590.5 km sq imekusanya nairobi 696 km mombasa 300km sq kisumu 200km sq eldoret 50km sq na waongeze zingine pia bado
 
so what is your issue here??kwa sasa tunaweka bolti supertall pale upperhill tulia sindano ikuingie sawasawa
unafkiri under construction zilizo bongo unafkiri mchezo do u think watu wamelala😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom