Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi zinahesabika wakati Tanzania saivi kila mtu ndio fashion

Unajua gharama za kujenga Tanzania ni ndogo sana, kwenye building materials Tanzania zipo cheap kichizi yaani laiti Tanzania tungekua tuna viwanda vya kutengeneza most of the finishing materials na electronic gadgets za kwenye nyumba ingekua poa balaa


Ila all in all bado cost of having a decent quality home, kwa Tanzania bado ni cheaper sana nafikiri Africa tunaongoza.
Sure, kitu chenye gharama kwenye dream house ni finishing
 
najua huwez amini na huwez kukubali ukweli ila huo ndio ukweli mwenzako kaletewa nyumba zinamilikiwa na watu wakawaida kaenda kuleta nyumba ya politician joho😂😂
Wewe unaishi gongo la mboto Dar mimi naishi Nairobi kenya and now you know Nairobi kunishinda Mimi! How interesting. Sawa basi niletee picha ya hiyo project nizione coz taarifa ni ya 2011. Hizo ni miaka tisa, lazima project ilishakamilika kitambo. Niletee picha ya hizo nyumba nione
 
Wewe unaishi gongo la mboto Dar mimi naishi Nairobi kenya and now you know Nairobi kunishinda Mimi! How interesting. Sawa basi niletee picha ya hiyo project nizione coz taarifa ni ya 2011. Hizo ni miaka tisa, lazima project ilishakamilika kitambo. Niletee picha ya hizo nyumba nione
hebu rudia mm naishi wapi??😂😂😂 unataka kupajua napoishi mm bro tena usijaribu bora upite kimya kabisa
 
There's no media house in Kenya by that name
😂😂👇👇👇
BEEC8BBF-C25E-4C4D-9308-FEC7B8D9B27E.png
 
Back
Top Bottom