Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

68D424C2-A93E-4987-BE99-D66838E41598.jpeg
024F5290-2970-49A4-8100-926F3F9C6994.jpeg
 
Wewe ukitazama vizuri wazungu walijenga hizo estates?., leo mumeanza kujenga munadhani mumefika mbinguni, Kenya passed there long ago., na bado.
I used that satirically ila mbumbumbu kaelewa kivyake. Mibongolala believe that all the buildings in Nairobi including estates are owned by wazungu just because wamaejaza jiji lao na dream houses. Huwa wanichekesha sana
 
I used that satirically ila mbumbumbu kaelewa kivyake. Mibongolala believe that all the buildings in Nairobi including estates are owned by wazungu just because wamaejaza jiji lao na dream houses. Huwa wanichekesha sana
most of estates in kenya ni za investors and politicians kazi yenu nyinyi ni kupanga bedsitters mpaka kufa lakini dream ya kumiliki ardhi na nyumba haipo kwenye ndoto yenu😂

Investor takes Nairobi homes higher with Sh7bn estate plan
 
Maaan Jaribu kwenda na tune

Sisi hapa tunaleta vitu unique ambavyo is for the first time vinaonekana hapa JF, wewe unatuletea vitu ambavyo each second unapost


Please bring different ideas
Naona hiyo post imekugusa hadi unaiquote more than once 😂 😂 Anyway unataka zingine mpya za wazungu? Hawa wazungu waendelee kutujengea jiji letu Tunawashukuru sana 😂 😂 😂
Check out Lower Kabete below then compare with those things you are posting above
images(386).jpg
images(384).jpg
images(382).jpg
images(383).jpg
images(381).jpg
images(380).jpg
images(379).jpg
images(251).jpg
Crop990x557.jpg
images(359).jpg
images(377).jpg
images(378).jpg
 
Hawa mibongolala wamejaza dream houses Dar to the point they believe that all the good things in Nairobi are owned by whites. Wengine Wanasema eti ni za investors ukimuuliza investor ni nini hana jibu. Mibongolala jamani!!!
 
So you can't even define the word investor yet you are comfortably using it! 😂 😂 😂 😂 Wewe kweli ni pumba
ujuaji hautakusaidia narudia kusema hvi most of estates are owned by foreign investors and few politicians 😂😂😂
 
ujuaji hautakusaidia narudia kusema hvi most of estates are owned by foreign investors and few politicians 😂😂😂
Foreign investors 😂 😂 😂 😂 😂
We really thank these foreign investors. They are indeed a blessing to us 😂 😂 😂 😂 😂 Nyinyi sisiemu ilishawaroga vichwa, only prayers can redeem you
 
Foreign investors 😂 😂 😂 😂 😂
We really thank these foreign investors. They are indeed a blessing to us 😂 😂 😂 😂 😂 Nyinyi sisiemu ilishawaroga vichwa, only prayers can redeem you
uhehehe sindio maana hua nawaambia ndotoya kumiliki ardhi nakujenga hamuna kazi yenu nyinyi ni ku rent ndio maana hata mafanikio ya maisha ni magumu sana 😂😂
 
Foreign investors 😂 😂 😂 😂 😂
We really thank these foreign investors. They are indeed a blessing to us 😂 😂 😂 😂 😂 Nyinyi sisiemu ilishawaroga vichwa, only prayers can redeem you
sasa ikiwa kenyataa na raila wanamiliki nusu ya kenya ww ndoto ya kujenga utakua nayo😂😂😂😂 never ever
 
uhehehe sindio maana hua nawaambia ndotoya kumiliki ardhi nakujenga hamuna kazi yenu nyinyi ni ku rent ndio maana hata mafanikio ya maisha ni magumu sana 😂😂
Of course sina ardhi. Hata kijijini kwetu pia nimekodisha nyumba tena ya nyasi 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom