Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wajua nishiko wewe limbukeni tupwa tupwa,na jee hata kiingereza wakijua kweli wewe? Nenda kasome economics ili uache ukurupukaji wa maneno yasiyo halisi.
Ndo maana nikasema wewe mpumbavu sana una reflect wakenya walivyo.

Eti kiingereza hahahahah poor u mkenya acha ushamba usidhani watz hawajui kiingereza.

Yawezekana muda huu unacomment kutokea kibera au mathare hahahahah
 
Ndo maana nikasema wewe mpumbavu sana una reflect wakenya walivyo.

Eti kiingereza hahahahah poor u mkenya acha ushamba usidhani watz hawajui kiingereza.

Yawezekana muda huu unacomment kutokea kibera au mathare hahahahah
wewe ndio bwege kwelikweli,ndio maana dhahabu mloibiwa na wale wenye kiingereza halisi kusaini kandarasi imekuwasha kwelikweli.laleni kabisa
 
hohoho kadoda naona hujasukwa ipasavyo wewe limbukeni
jikumbushe kidogo hizo bakora hapo chini nilizowachapa siku kadhaa zilizopita.

kutoana na uhaba wa ardhi,wakazi wengi wa nairobi hawamiliki nyumba zao binafsi.

asilimia kubwa ni wapangaji walio-rent nyumba zinazomilikiwa na kikundi kidogo cha wakenya toka kabila la Kikuyu.

that being said,i present to you a sample of random photos showing private houses owned by common people of dar es salaam.
21929c100bdf69950b87de17b5063910.jpg
328546a563da46dd81e600a479bfc2da.jpg
a4ac81b8433c5d34331ff037879e9483.jpg
59ae4e0cb1a45884ec4778c823f9507c.jpg
bec416e0379597c31bcd5108979e8b48.jpg
468e107a72c98e954bdcfda9b1b6decb.jpg
5dc9492185f4e6f880afa3148745d9d8.jpg
529e1c4c549f811bb59ef56c1cdefeec.jpg
557efa5fedf67c53c6aa344c4375c5ca.jpg
8944a9c6e6c9487d37b8312b04960cd2.jpg
61b30d08cfa291550f3e4386940bf96c.jpg

more photos are coming. stay tuned.
 
Dar is slum mji wa kutupwa hamna lolote kule slum kuishia ufukwe,
flash back to few days ago.

kutokana na uhaba wa ardhi,wakazi wengi wa nairobi hawamiliki nyumba zao binafsi.

asilimia kubwa ni wapangaji walio-rent nyumba zinazomilikiwa na kikundi kidogo cha wakenya toka kabila la Kikuyu.

that being said,i present to you a sample of random photos showing private houses owned by common people of dar es salaam.
4754d1fa968d0ef7af8c0b34f20f7b96.jpg
83315b9911bfff3731ffab312758d295.jpg
3e0e42c9d4f4e25853bc5e14d0aae697.jpg
594aa41246c274dd2d4588874edebec6.jpg
3eac26869781ce4f2575dc08f33ad2d5.jpg
88ca2cb588a1c2f7dd431ab1faf5a12e.jpg
ab3ba2264a3c36da7505e5a1ecc9360f.jpg
8909f12fecf9af6993b3f3a1eabe64bc.jpg
0207db480abae4ae4fa50b5b183325e3.jpg
fadec02173c544ef249e99bd75afe947.jpg
3a332487eceeba26d0f5bdcef5447509.jpg
9d23ad575dab0a26002b9c3bfce0f517.jpg
df611473ed417b9ae5c22a894c2e6e7e.jpg
a76736bb47eedcad887a2b42b083b1b0.jpg
9b945bac856f22a56621168e44b84c7d.jpg
 
jikumbushe kidogo hizo bakora hapo chini nilizowachapa siku kadhaa zilizopita.
Izi bakora wa Kenya wakiziona machozi yana walenga lenga lakini wanajikaza
Hawana ardhi ,ardhi yote Nairobi inamilikiwa na ma bwanyenye na wananchi wa kawaida wamebaki kuishi kibera au akijikaza zana anaishi kwenye dormitory zilizo jengwa na wanaume wachache uki Nairobi , imagine upo na mke kibera au kwenye dormitory kama student ,its real painful
 
Kweli? Mbona Line up inaonesha zaidi ya wana

Unajua Urban rate?
Hamna kaka wachezaji saba wa Simba wapo kambini na timu ya taifa, Yule Blagnon ambae Jana alikua anaonekana ana marking nzuri ya Mpira kama striker hua anatokea bench Mara nyingi hua haanzi kwenye first 11, Kuna Laudit Mavugo (Burundian Striker) yeye ndio huwa anaanza kama striker. Kama unaifuatilia Simba game ya Jana walikua wanacheza kwa uwezo wa mchezaji mmoja mmoja na wala sio uwezo wa kitimu maana karibia wote wale waliocheza ile game na Nakuru maranyingi hawapati namba first eleven.
 
Hahahaha! AFC has taken Singida home! We are the People!!
Wanjala uliniambia mliwaambia wazungu kama nchi nyingine zikikataa mtakomaa wenyewe.Usiseme nyie wenyewe maana mpo nyie na Rwanda mliokubaliana wengine tumekaa kimya.Kila siku E Africa leaders wakija dar ni mwendo wakusema msiwapanish kenya sasa hivi wameongezwa Burundi wanjala Bwana unakauli za kishujaa huku JF lakini viongoz wenu wanajuta hata kwa nn walijipendekeza kwa wazungu
 
btw... picha zote za majengo yote ya Nairobi,,, huwezi ona slum kamwe. unlike dar penye unaona jengo moja zuri na ukisonga next apo kidogo unaona mzoga. same na stadium umepost apa jana... ni aibu sana ukisongeza camera meter chache unaona hali sio hali
Umemaanisha picha kama hizi?
 

Attachments

  • 200561639-001.jpg
    200561639-001.jpg
    45 KB · Views: 144
Back
Top Bottom