Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kutokana na uhaba wa ardhi,wakazi wengi wa nairobi hawamiliki nyumba zao binafsi.

asilimia kubwa ni wapangaji walio-rent nyumba zinazomilikiwa na kikundi kidogo cha wakenya toka kabila la Kikuyu.

that being said,i present to you a sample of random photos showing private houses owned by common people of dar es salaam.
4754d1fa968d0ef7af8c0b34f20f7b96.jpg
83315b9911bfff3731ffab312758d295.jpg
3e0e42c9d4f4e25853bc5e14d0aae697.jpg
594aa41246c274dd2d4588874edebec6.jpg
3eac26869781ce4f2575dc08f33ad2d5.jpg
88ca2cb588a1c2f7dd431ab1faf5a12e.jpg
ab3ba2264a3c36da7505e5a1ecc9360f.jpg
8909f12fecf9af6993b3f3a1eabe64bc.jpg
0207db480abae4ae4fa50b5b183325e3.jpg
fadec02173c544ef249e99bd75afe947.jpg
3a332487eceeba26d0f5bdcef5447509.jpg
9d23ad575dab0a26002b9c3bfce0f517.jpg
df611473ed417b9ae5c22a894c2e6e7e.jpg
a76736bb47eedcad887a2b42b083b1b0.jpg
9b945bac856f22a56621168e44b84c7d.jpg
 
wakazi wengi wa nairobi hawamiliki nyumba zao binafsi.

asilimia kubwa ni wapangaji walio-rent nyumba zinazomilikiwa na kikundi kidogo cha wakenya toka kabila la Kikuyu.

that being said,i present to you a sample of random photos showing private houses owned by common people of dar es salaam.
21929c100bdf69950b87de17b5063910.jpg
328546a563da46dd81e600a479bfc2da.jpg
a4ac81b8433c5d34331ff037879e9483.jpg
59ae4e0cb1a45884ec4778c823f9507c.jpg
bec416e0379597c31bcd5108979e8b48.jpg
468e107a72c98e954bdcfda9b1b6decb.jpg
5dc9492185f4e6f880afa3148745d9d8.jpg
529e1c4c549f811bb59ef56c1cdefeec.jpg
557efa5fedf67c53c6aa344c4375c5ca.jpg
8944a9c6e6c9487d37b8312b04960cd2.jpg
61b30d08cfa291550f3e4386940bf96c.jpg

more photos are coming. stay tuned.
hapo ndipo unapo wauwa washamba wakikenya maana wanakazania apartment mbona hawaleti mijengo ya nyumba za raia wanaomiliki houses....au kibera pekee bdyo wpo wanaomiliki ....nyumba wengine wote waliobaki ni wapangaji
.....mkuu hii hoja tuanze nayo aisee
 
kutokana na uhaba wa ardhi,wakazi wengi wa nairobi hawamiliki nyumba zao binafsi.

asilimia kubwa ni wapangaji walio-rent nyumba zinazomilikiwa na kikundi kidogo cha wakenya toka kabila la Kikuyu.

that being said,i present to a sample of random photos showing private houses owned by common people of dar es salaam.
4754d1fa968d0ef7af8c0b34f20f7b96.jpg
83315b9911bfff3731ffab312758d295.jpg
3e0e42c9d4f4e25853bc5e14d0aae697.jpg
594aa41246c274dd2d4588874edebec6.jpg
3eac26869781ce4f2575dc08f33ad2d5.jpg
88ca2cb588a1c2f7dd431ab1faf5a12e.jpg
ab3ba2264a3c36da7505e5a1ecc9360f.jpg
8909f12fecf9af6993b3f3a1eabe64bc.jpg
0207db480abae4ae4fa50b5b183325e3.jpg
fadec02173c544ef249e99bd75afe947.jpg
3a332487eceeba26d0f5bdcef5447509.jpg
9d23ad575dab0a26002b9c3bfce0f517.jpg
df611473ed417b9ae5c22a894c2e6e7e.jpg
a76736bb47eedcad887a2b42b083b1b0.jpg
9b945bac856f22a56621168e44b84c7d.jpg
tuanze na hii tunataka maisha ya nyumba halisi zinazomilikiwa na mkenya mmoja mmoja

twende nao kaka....maana wakenya ni maskin hafu wanatupigia kelele hapa
 
It has moved from comparing the two cities to individuals..
.Tanzanians mko na issues kwelikweli. Endeni Nairaland muone vile watu hureason
 
asa ukitataka kuwakamata wakenya asa wanaojifanya wanapiga kelele kuhusu nairobi ndyo hapo....jamani tunaomba kuziona nyumba za mtu mmoja mmoja.....maana kutwa mnazionhesha apartment....sisi tunataka pia picha za mitaa yenye nyumba zinazomilikiwa na mtu mmoja mmoja

najua hamna kama mnazo ziwekeni tuzione
hahahahaha... kwa taarifa yako, hawa wakenya wote wanaokomenti hapa ni wapangaji waliopanga katika nyumba zinazo milikuwa na wakikiyu wachache pale Nairobi.
hata Edward Wanjala(mtu mwenye njaa) nina uhakika wa 100% hana nyumba yake binafsi pale nairobi.kapanga kule dandora kwenye ka-one bedroom house.mwisho wa mwezi anaanza kutafuta sababu ya kumdanganya caretaker mkikuyu pale atakapo kuja kudai pesa yake.[emoji23] [emoji23]

wanaomiliki nyumba Nairobi ni elite politicians and some prominent business people only.

huu ukweli hata kaka yangu,mkongwe MK254 anaufahamu na hawezi kubisha.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

baadhi wanajitutumua kujenga "ushagoo/mashinani" lakini sio nairobi.kupata ardhi ya kujenga nairobi sio jambo rahisi.
 
DAR ILIVYOKUWA NA BALAA YAANI INAIKOJOLEA NA KUINYEA NAIROBI ....KWA DHARAU

Huku tuna surburb pia tuna majumba kama wanayoyaonyesha manyumba yaliyofananafanana kama jezi za taifa....wao nyumba ya mmiliki mmoja mmoja haguzioni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
It has moved from comparing the two cities to individuals..
.Tanzanians mko na issues kwelikweli. Endeni Nairaland muone vile watu hureason
we mshamba wakikenya mmeleta hapa nyumba za maboss wenu ama napenda kuziita hostel ....hebu leteni na nyumba ama mitaa yenye nyumba zinazomilikiwa na mmoja mmoja.....nyie bado sana aisee ni maskini na mtapanga mpaka kiama kuanzia mama mpaka vitukuu
 
It has moved from comparing the two cities to individuals..
.Tanzanians mko na issues kwelikweli. Endeni Nairaland muone vile watu hureason
wewe endelea tu kutazama picha huku ukiji-console,you have nothing to contribute.
tazama picha za nyumba binafsi zinazomilikiwa na wakazi wa dar.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwenye nyumba za wakazi wa kawaida utakimbiza wa Kenya humu
Maana wao wamezoea zile za kupanga wanazo tuma humu zimefanana kama dormitory za primary's schools
 
Kwenye nyumba za wakazi wa kawaida utakimbiza wa Kenya humu
Maana wao wamezoea zile za kupanga wanazo tuma humu zimefanana kama dormitory za primary's schools
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
😀😀😀😀😀😀😀 mwaka mbaya huu
hawa mim nawaambia leo tunataka watuonyeshe dizain ya mitaa kama yetu kwa wanaomiliki raia wakikenya nyumba moja moja ili tuwacheke vizuri maana tokea thread nianze kuifuatilia sijawah ona zaidi naziona apartment zao tu ama hostel ...leo tuwakabe tunataka street lyk masaki,oysterbay,mbezi,mbagala,kigogo.......maana hawazilet hapa

au kibera ndyo wanapomiliki nyumva ya mkoja mmoja
 
hahahahaha... kwa taarifa yako, hawa wakenya wote wanaokomenti hapa ni wapangaji waliopanga katika nyumba zinazo milikuwa na wakikiyu wachache pale Nairobi.
hata Edward Wanjala(mtu mwenye njaa) nina uhakika wa 100% hana nyumba yake binafsi pale nairobi.kapanga kule dandora kwenye ka-one bedroom house.mwisho wa mwezi anaanza kutafuta sababu ya kumdanganya caretaker mkikuyu pale atakapo kuja kudai pesa yake.[emoji23] [emoji23]

wanaomiliki nyumba Nairobi ni elite politicians and some prominent business people only.

huu ukweli hata kaka yangu,mkongwe MK254 anaufahamu na hawezi kubisha.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

baadhi wanajitutumia kujenga "ushagoo/mashinani" lakini sio Nairobi.kupata ardhi ya kujenga Nairobi sio jambo rahisi.
asa mbona wanajikuta bora zaidi bila ya haibu.....hebu twende nao kwa hii sera watuletee
 
Back
Top Bottom