The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Hv unadhani hapo akipanda mtu mwenye kilo 100 patabaki salama hapo?[emoji116][emoji116]
Hv unadhani hapo akipanda mtu mwenye kilo 100 patabaki salama hapo?[emoji116][emoji116]View attachment 1417757
Hizo tundu za ndege zipo kibao huko Geza Ulole wamekosa wapangaji sasa hivi hadi wameshusha bei na bado watu hawazitaki.Wabongolala tunawajua kwa domo tu...Amalia apartments syokimauView attachment 1417512View attachment 1417514
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka wazungu ni wazuri wa kuiba maarifa yetu, bulb zilizinduliwa na mtu mweusi, traffic lights ni mtu mweusi tena mghana, 😂😂project nzuri, agawe moja kweny kamati ya Majaliwa kama msaada then nyingine auze .. zikae vituo vya BRT, kivukoni etc
ila, is this effective? 🤭.. yan hao wazungu wa nje wameshindwa kweli kufanya haya?
Design ya hii inahitaji modification tunnel is more appropriate hii haijakaa kuhudumia watu wengi kwa haraka!project nzuri, agawe moja kweny kamati ya Majaliwa kama msaada then nyingine auze .. zikae vituo vya BRT, kivukoni etc
ila, is this effective? 🤭.. yan hao wazungu wa nje wameshindwa kweli kufanya haya?
Leo nawazungusha mitaani tu....Donholm heightsView attachment 1417449View attachment 1417450
Sent using Jamii Forums mobile app
Dinosaur huyu ni real au wa kutengeneza tu?
Over 80% parts ni real nyingne ameungiwa ungiwa but most parts ni real na ni mifupa kutoka TzDinosaur huyu ni real au wa kutengeneza tu?
Hawatumiagi akili hawa..na hio ni part ya kipicha tuIf we start posting jumba mojamoja that way how long will I take to finish all these in the pic
View attachment 1417808
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuhh aisee kumbe hawa viumbe walikuwepo Tz
If we start posting jumba mojamoja that way how long will I take to finish all these in the pic
View attachment 1417808
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo tundu za ndege zipo kibao huko Geza Ulole wamekosa wapangaji sasa hivi hadi wameshusha bei na bado watu hawazitaki.
Nyingine zipo Kijichi hadi Magufuli kawapa wanafunzi waishi na nyingine kawapa watumishi wa Halmashauri.
Nyingine zipo Dege hata kumalizia wanaona haina maana Wabongo hawapendi kuishi kwenye viota.
If we start posting jumba mojamoja that way how long will I take to finish all these in the pic
View attachment 1417808
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo wa kutengenezwa ili ku enforce darwinism theoriesDinosaur huyu ni real au wa kutengeneza tu?
Wenyewe wanapaita MisriDar ina maeneo mengi sana,,, endelea kujifurahisha
ila hii ndiyo definition ya ujenzi kwa hapo nairobi[emoji56][emoji56][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnamaisha ya dampo kabisa.....
jione upo kijiweni hapo unapiga plani za kwenda kuvizia free wi-fi town lakini corona imekukomoaView attachment 1417902View attachment 1417904View attachment 1417905View attachment 1417907View attachment 1417908View attachment 1417909View attachment 1417910View attachment 1417912View attachment 1417913View attachment 1417914View attachment 1417915View attachment 1417916View attachment 1417917View attachment 1417918View attachment 1417920
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes