Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yaan unachofanya ni kama niende upanga au kariakoo hata magomeni na kuanza kupost jengo mojamoja

Sent using Jamii Forums mobile app
Correction, ukienda hko leta km anavyoleta mwenzako..yani anakuletea gated communities na majina yake kabisa...

Wala sio kupiga piga picha tu, itakuwa husaidii watu wengine ambao wana mahitaji na hzo appartments



Sent using Jamii Forums mobile app
 
hii ni part ya ilala👇👇👇
4AA35A6C-B7A3-4F49-A3AA-B26E9D7842EA.jpeg
 
Usishindane na Dar, iko mbele yenu kwenye haya mambo na ndo maana wewe na mmeo mnahitaji exposure
View attachment 1417619
Unajua mkuu tatizo Dar ni li Giant sn na ndo mana real estate zinaonekana chache compared to za Nairoba, lkn ukweli ni kwamba km estate za Dar zitawekwa nai, basi zitajaa sn na nyingine zitamwagika
 
This is not the ground,, writings hatutambui,bring those real estates tuone
Hii hoja mbn tushamaliza, nenda kawaulize WB wakuoneshe hzo real estates za Dar, mana kwa ukubwa wa Dar mm mwnyw nyumba nyingi czjui zikiletwa hapa huwa nashangaa, ila nyie Nairobi ndogo lazima mzijue zote[emoji3][emoji3]
 
Kwn satirs huaga zina nguzo maalum[emoji51][emoji51][emoji51]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni hatari mkuu,ipo siku hiyo nyumba itajibu,mmiliki ni ndugu yangu na sikumficha hatari iliyoko hapo,angalia hiyo picha uone type za ghorofa zinazojengwa TZ,tofali inalazwa,na kila kona kuna nguzo iliyoshiba nondo za mm za maana,hiyo yote kulinda uzito ulio juu wa hilo jengo,kitu ambacho huko kwenu amzingatii usalama kabisa
 

Attachments

  • FB_IMG_1586721652715.jpg
    FB_IMG_1586721652715.jpg
    93.5 KB · Views: 11
Hahaa!!hyo nyumba haina tatizo lolote, ni vile waliijenga kuunga tu ndio manake unaidharau..

Ulitaka wajenge vipi wewe wakati si ajabu hata hela ya mchoro ilikua tabu...
Tena likoni ni mawe matupu, yani hapo utaomba sana huo mjengo uanguke lkn zii

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani nimekushangaa sn, eti bila woga unasema hili ghorofa lipo sawa na halina shida yoyote, Dah Wakenya cjui mnakwama wapi hebu cheki bomu[emoji116][emoji116]
tapatalk_1586693276370.jpeg
tapatalk_1586693263246.jpeg
tapatalk_1586693267198.jpeg
 
Back
Top Bottom