Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

This is how Ngara will look like some years after now
tapatalk_1586776876043.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
13 Apr 2020

MTANZANIA AJA NA CAMERA ZA KUPIMA JOTO "ZINATAMBUA SURA YA MWENYE TATIZO"



Wakati Dunia ikipambana na ugonjwa wa Corona (Covid 19), Mtanzania Moses Hella ambaye ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Teknolojia ya Emotec kwa kushirikiana na Kampuni kubwa Duniani wametengeneza Camera zenye uwezo wa kupima Joto la Binadamu ili kubaini kama ni muathirika wa Corona ama lah.

Source : millard ayo
 
Kitu yenyewe hiyo hapo,angalia iko kiwambaza hapo juu hamna nguzo yoyote,iliyoshikia,kwa vile ni ndugu yangu nilimuelekeza namna ya kufanya hapo zikae nguzo,nyumba kama hii TZ huwezi kujenga bila kibali,soon naifuta hii post mkuu 🤣,Geza Ulole hii ndio shida niliyoiona
khaaaaaa hivi aliyojenga hapo ni fundi hasaaa au muhuni tu..????..ghorofa gani hilo aaah mi ningecheka hadi nife
 
Correction, ukienda hko leta km anavyoleta mwenzako..yani anakuletea gated communities na majina yake kabisa...

Wala sio kupiga piga picha tu, itakuwa husaidii watu wengine ambao wana mahitaji na hzo appartments



Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kaleta gated community???!!!...unazijua gated community wewe,unafikiri ndo hizo hostel zenu..
 
Back
Top Bottom