The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Ww mbn unaingia unatoka unaingia unatoka hujiamini auu[emoji3][emoji3] km unajiamini tunataka kuanzisha mbungi ya hospitali kenya vs Tz je upo ready?? Wenzio wame change gear angani wameanza kuleta battle ya kijinga eti beds af beds zenyewe ni za msaada, hahahahahahahahahaaaaa yn tukae hapa tuanze kubishania vitanda jmn hii haki kweli hii, bei yake sh ngp kitanda ikiwa tunanunua mashine za kitabibu ambazo hazipatikani EA nzima itakuwa kitanda?? Smh