Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ohhh tuna critical care beds 350 sisi tunapamabana na corona hvi 😂😂👇 muna safari ndefu sana

 
Ohhh tuna critical care beds 350 sisi tunapamabana na corona hvi [emoji23][emoji23][emoji116] muna safari ndefu sana

Jana ndio wamethibitisha kuwa wanaiogopa Tz, tulipowaambia waseme suu ili tushindane kwny hospitali wakajifanya wehu eti wamehamisha mada kwny vitanda, Dah nimeshangaa sana yn wakenya wanavyopenda kushindana lkn jana wamegoma kabisa [emoji3][emoji3][emoji3] wanaanza kutoa excuses za kitoto eti oohh toa defn ya hospital mara ooohhh nyie mna majengo tu ss kwn hospitali c lazima iwe na majengo au wanataka hospitali za sangoma [emoji3][emoji3][emoji3] wamenishangaza sn jana aisee
 
Jana ndio wamethibitisha kuwa wanaiogopa Tz, tulipowaambia waseme suu ili tushindane kwny hospitali wakajifanya wehu eti wamehamisha mada kwny vitanda, Dah nimeshangaa sana yn wakenya wanavyopenda kushindana lkn jana wamegoma kabisa [emoji3][emoji3][emoji3] wanaanza kutoa excuses za kitoto eti oohh toa defn ya hospital mara ooohhh nyie mna majengo tu ss kwn hospitali c lazima iwe na majengo au wanataka hospitali za sangoma [emoji3][emoji3][emoji3] wamenishangaza sn jana aisee
hahaha nimecheka sana 😁😁😁 yani wanaiogopa sana tanzania yani wangejaribu wakajionea maajabu ningewanyoosha humu wasingekaa kuamini
 
Back
Top Bottom