Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,598
- 15,704
Sasa wewe unajivunia nini kujenga danguro jijini Na kuiita dream house? Kama hiyo ndio umejenga jijini, I can only imagine what you've built upcountrynimecheka sana,,,yaani kwake ni kitu cha ajabu na kajivunia mwenyewe,,,, unasimama mbele ya wanaume halafu unajisifu kuwa umepanga kwenye estate wakati hata mademu nao wamepanga.....
huyo jamaa ni kichaaa ansumwa kifafa
Sent using Jamii Forums mobile app


