We mabomu ya machozi skia, Tanzania ilivyo kubwa hivi eti uniambie barabara zilizotiwa lami ni Km 6000!!!? mbona hata akilini haingii....
Mahesabu yaliyofanyika hapo ni barabara kuu za nchi which is zinaunganisha pia nchi jirani.....
Hujazungumzia zile barabara za mikoa, yaan kutoka mkoa mmoja hadi mwingine, bado tena za wilaya ndani ya mikoa hiyo, bado tena kwenye matarafa, kata na mitaa ( just imagine tuu)
Mfano Dar ambao ndo mkoa mdogo kwa eneo (size) Tanzania nzima, chukua vipande vya barabara zake akina Kawawa Road, Ali Hassan Mwinyi, Mandela, Kilwa, Sam Nujoma, Old Bagamoyo na vibarabara vyote mjini hapa, weka total....
Af imagine sasa mikoani huko vile vibarabara vya ndani ya mji af weka total si utakimbia mwenyewe....
Sent using
Jamii Forums mobile app