Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndugu, usilazimishe tuwe kama nyinyi, just the same way hamuwezi kuwa kama sisi. Sisi mfumo wa dream houses hatuna. Nyumba kama hizo ulizoleta hapo juu (za wamiliki) zimejaa Nairobi. Nenda Ruai, Syokimau ama Utawala kwa mfano. Utapata kwamba nyumba za kupangisha zipo ila ni chache ukilinganisha na wanaomiliki nyumba. Most houses there are homes owned by developers themselves.

Halafu kitu kingine unafaa kufahamu kuhusu Nairobi ni kwamba hata hizo apartments unazoona, kuna za kuuzwa pia so sio kila mtu anayeishi kwa apartment building ni tenant. Wengine ni wamiliki.

The point is, ukipata mtu anamiliki nyumba Nairobi, it is a decent house, not those squalors of yours that you call dream houses.

Take a look at Ruai below. Most houses here are owned by those who developed them. Compare with your dream houses that you own with so much pride View attachment 1394980View attachment 1394981View attachment 1394987View attachment 1394988View attachment 1394990View attachment 1394991
Ukimaliza kuongea huu upupu usisahau kwmb hakuna billionaire hata mmoja Naipori, oohh sorry Nairobi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana huwezi compare a Kenyan ordinary level student to an A level student in Tanzanuavthat is blasphemy.


Let me tell you teargass personally nimesoma in both systems so huwezi nidanganya nimesoma Kenya and najua your system vizuri tu and nimesoma Tanzania.

I will tell you this Kenyan students are very superior to Tanzanian students ( or graduates in this matter) in matters of expressions and in studies concerning arts,history and business.


But when it comes to Science and i mean natural science Tanzania is very superior to Kenya. Na nikuambie isingekuwa anonymity ningekuambia jina langu na some of the Kenyans nimestudy nao unajua mnazingua System iko easy Sana has a kwenye science nilipata shida sana Ku adapt nilivorudi huku coz I found vitu so tough but fortunately as long as your intelligent you can adapt to any system.

Kupata straight A kwenye advance level Tanzania sio easy kama kama kupata vi straight A KCSE actually its way easier kama ulishindwa siwezi judge you but don't take it as a reference cha any ugumu in ur system
Do you understand yourself? High school in Kenya is just a secondary school. An high schooler is a student between form one to form 4. And form four in Kenya is like form 6 in Tanzania and Uganda while a form one in Kenya is a for three in Tz.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Do you understand yourself? High school in Kenya is just a secondary school. An high schooler is a student between form one to form 4. And form four in Kenya is like form 6 in Tanzania and Uganda while a form one in Kenya is a for three in Tz.

Sent using Jamii Forums mobile app
And kuhusu ur Uganda argument I assure you watu wanaoenda Uganda kusoma from Tanzania 95% wamefeli huku TZ, wanaenda Uganda kusoma

Just elewa watu wakishafeli huku from six au wakipata grade mbovu o level wanakimbilia Uganda maana ndo kimbilio la vilaza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
And factor nyingine ambayo ni kuu its that Kenya private primary schools are a lot cheaper than Tanzania's

Tanzania private school zenye high quality ni very expensive.. So ujue wazazi hao hawataki wanao wasome government at the same time they can't afford fees in Tanzania so wana ship their kids in Kenya
I went to school with a few Tanzanians in primary school. Wao walifeli nini ndio waliamua kutafuta unafaa Kenya? You can run but you can't hide

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom