ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Wapuuzi kweli hawa hzo picha kipindi cha mafuruko tena awamu ya kikwete na nyumba zote zilibomolewa hapo ni wanja umebakia na sasa wanapanua mtoHapa umemtandika KO 😂😂😂
Wapuuzi kweli hawa hzo picha kipindi cha mafuruko tena awamu ya kikwete na nyumba zote zilibomolewa hapo ni wanja umebakia na sasa wanapanua mtoHapa umemtandika KO 😂😂😂
Hebu zoom utuoneshe slum hapo😂😂😂 maana nataka kujua kati ya ww na mzungu nani mjinga😂😂😂😂Nairobi hizi mtabomoa lini? 😂 😂 😂 View attachment 1395049View attachment 1395050View attachment 1395051
Hakuna mkenya ana uwezo wa kumiliki nyumba,only you can own ni zile vibanda za mabati..kwa unataka kusema nairobi mmemuachia mchina na mhindi ajenge,ila nyie wakenya mmekimbia mji hadi ushago..you ar so funnyJust the same way hata sisi pia hatuna akili ya kujenga dangura niite dream house kisha nijione mfanikiwa. Nyumba tunajenga vijijini kaka. Na kwa walio na uwezo wa kumiliki nyumba jijini, they buy decent houses, not squalors Kama hizo za Dar. Mbona huelewi?
Ndio shida ya kuokota okota picha ovyo 😂😂😂Wapuuzi kweli hawa hzo picha kipindi cha mafuruko tena awamu ya kikwete na nyumba zote zilibomolewa hapo ni wanja umebakia na sasa wanapanua mto
Hio picha ni pemben ya bahari we mpuuzi sana wewe ndio maana nakwambia hutapata slum in dar mpaka yesu ashuke😂😂👇👇 na alieandika temeke ni ndugu yako bogus weweHiyo picha ya Kwanza iliyoandikwa Temeke unaona bahari mahali? Ama leo hujala ile mchuzi wako unayopenda?
Kwa hivyo mzungu ni Mungu? Look at how this bongolala is reasoning!Mamaeee munaleta slums zenu wenyewe munatuambia dar 😂😂😂😂 unafkiri mzumgu mpuuzi sana asione slum uone wewe
Akikueleza ni wapi hapo nitag bro😂😂😂Y
Temeke sehemu gani hizo picha 😂😂😂
Kapost zingine za kwao halafu anandika Temeke 😂😂😂Hio picha ni pemben ya bahari we mpuuzi sana wewe ndio maana nakwambia hutapata slum in dar mpaka yesu ashuke😂😂👇👇 na alieandika temeke ni ndugu yako bogus wewe
View attachment 1395061
Hehehe mzungu manake hana akili kaona slum zote za dunia hakuona dar😂😂👇👇Kwa hivyo mzungu ni Mungu? Look at how this bongolala is reasoning!
Anaweweseka balaa 😂😂😂Akikueleza ni wapi hapo nitag bro😂😂😂
Ndio maana nimecheka sana leo wanaokota picha za google kwa hasira wakisema dar😂😂😂👇👇Kapost zingine za kwao halafu anandika Temeke 😂😂😂
Yaani na joto la Dar uishi kwenye nyumba za bati after bati 😂 😂 😂Ndio maana nimecheka sana leo wanaokota picha za google kwa hasira wakisema dar😂😂😂👇👇
View attachment 1395064
Umeanza kuishiwaDar has five million residents. They want to make us believe that all the five million people own houses! WTF! Asilimia kubwa sana wanapangisha hizo danguro wanaita dream houses
😂😂👇👇👇👇magu ni hatari
Kama hzo ni slum mm nafunga account jamii forum😂😂😂😂😂😂 yani utatafuta slums mpaka yesu ashuke
These 2 r fotos from Nairobi! Dar doesn't have that soil! Idiot stop spreading fake fotos!