Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You would rather rent...!!!?!
..unaona poa tu kuishi kwa nyumba aliyojenga mwanaume mwenzio..hakuna mtz mwenye hiyo akili you think like a little man..very sorry
Just the same way hata sisi pia hatuna akili ya kujenga dangura niite dream house kisha nijione mfanikiwa. Nyumba tunajenga vijijini kaka. Na kwa walio na uwezo wa kumiliki nyumba jijini, they buy decent houses, not squalors Kama hizo za Dar. Mbona huelewi?
 
Piteni kimya kimya
Eldoret town 😁😁😁😁 Hata Dark Es Sluum haina Kama hii 😂😂😂😂
Wenye wivu watokwe povuView attachment 1394983View attachment 1394984View attachment 1394985
Wanasemanga eti maendeleo ni Nairobi tu. Tukipost projects outside Nairobi wanadai eti ni kuharibu pesa, that those projects hazina umuhimu wowote kwa taifa, eti wao wanafanya kulingana na mahitaji. The other day one of them was questioning why Kenya is building a dual carriageway from Nairobi to Nakuru arguing that haifai. Very funny creatures
 
Sio corona itayowaua ni stress za maisha magumu👇👇👇👇
2EC848F0-875B-4A4A-BA64-4CCE12F5B2C4.jpeg
 
Na wanaoishi kwenye nguruwe slums 70% wakazi wote nairobi wako slum wao vp huko 😁😁😁😁😁😁
Slums do not even cover a third of Nairobi and they are in selected areas. The biggest slum, Kibera, is only 2.5 square kilometres. Lakini kule Dar dream houses zimeteka jiji nzima nyara hakuna pa kupumulia
 
Slums do not even cover a third of Nairobi and they are in selected areas. The biggest slum, Kibera, is only 2.5 square kilometres. Lakini kule Dar dream houses zimeteka jiji nzima nyara hakuna pa kupumulia
Lakini cha kuskitisha imebeba 70% of Nairobi population na hapo ndipo mzungu anachoka na anaamua kuigeuza kua national park😂😂
 
Lakini cha kuskitisha imebeba 70% of nairobi population na hapo ndipo mzungu anachoka na anaamua kuigeuza kua national park😂😂
Wewe dream house yako unaimilki ukiwa wapi? 😂 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom