Bantugbro
JF-Expert Member
- Feb 22, 2009
- 4,473
- 4,253
Hii kitu imetulia sana...
Hii kitu imetulia sana...
Hhaaaaaa mr broken EnglishReview your pidgin writing before posting clown.You’ve been measured and found wanting,nursery dropout!
Your anus!View attachment 1394947
Mr broken English!Dingy
hela ya kuwalipa wanayo kwani😂😂
I have already told them that. Watu wanamiliki uswazi Dar kisha wanaona mmefanikiwa sana maishani 😂 😂Heri kupangisha mjini halafu kwetu kijijini niwe na mjengo wa maana, kuliko kuishi uswazi mjini kisha ukienda kijijini ukalale kw nyumba ya bibi yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo number za simu ni za Kenya?Evidence kwamba hii ni page ya mtanzania?
Kama hizo za Dar ndio mnaita dream houses, I can only imagine the ones you build in your villagesNani kakudanganya kuwa watu hawajengi vijijini?
You would rather rent...!!!?!I have already told them that. Watu wanamiliki uswazi Dar kisha wanaona mmefanikiwa sana maishani 😂 😂
I would rather rent an apartment than build a squalor in Nairobi and be proud of it. Sisi tunajenga upcountry
🤝🤝🤝🤝🤝8b usd
Mr broken English!
Piteni kimya kimyaWoooow..."wanna met me".. broken English always....you boy👇👇👇
MaaaaanSome education for your fiddle mind,gimme (give me)wassup(what is up) Wanna(want to)Gonna(going to) all these are called reductions (reduced forms of words).Hope u’ve learnt something clown!
Keep posting the trash..Piteni kimya kimya
Eldoret town 😁😁😁😁 Hata Dark Es Sluum haina Kama hii 😂😂😂😂
Wenye wivu watokwe povuView attachment 1394983View attachment 1394984View attachment 1394985
Ndugu, usilazimishe tuwe kama nyinyi, just the same way hamuwezi kuwa kama sisi. Sisi mfumo wa dream houses hatuna. Nyumba kama hizo ulizoleta hapo juu (za wamiliki) zimejaa Nairobi. Nenda Ruai, Syokimau ama Utawala kwa mfano. Utapata kwamba nyumba za kupangisha zipo ila ni chache ukilinganisha na wanaomiliki nyumba. Most houses there are homes owned by developers themselves.Tutaelewana tu, afu uniambie wanaojenga hawa utawalinganisha na mnaoita middle income kwenu na wamepanga kwenye Estates (zingine ni estate uchwara)!! View attachment 1394677View attachment 1394651
Umekasirika kweli. Kwa hivyo hata wewe pia unamiliki dream house? 😂 😂 😂umempa msumeno wa swali zuri sana.......
na akae akijua kuna watu kuanzia babu zao wamezaliwa town kivipi wakajenge kijijini wakati baba zao walishajenga...
nakingine watu huku wanajenga kote kote wakenya ni washamba sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio ujinga ndugu. Ni mifumo zetu ndio hazifanani. Nyinyi mnajenga dream houses jijini wakati sisi hatuna huo mfumo.
Wajinga sana hao jamaa..I have already told them that. Watu wanamiliki uswazi Dar kisha wanaona mmefanikiwa sana maishani![]()
![]()
I would rather rent an apartment than build a squalor in Nairobi and be proud of it. Sisi tunajenga upcountry
Km mjini tu majumba ni yale, je hko vijijiniNani kakudanganya kuwa watu hawajengi vijijini?
The difference is so clear unless you are just blindLakini sio tatizo lako ni tatizo la Nairobi nzima coz you cannot differentiate the normal settlements, estates & ghetto 😂