Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kelele zote kwa mama junior saloon
Hio saloon kwiooo👇👇😀😀😀
2A51174B-63EA-41F1-B09B-E612C3C3E6FD.jpeg
84531583-7B76-4173-9365-B1308E53B1C7.jpeg
0D307B12-E908-4634-A036-D4B8520930F9.jpeg
 
Africa tuko wavivu sana kufanya research, sababu ya utegemezi wa kila kitu from western na kiasi kikubwa wameteka sana fikra zetu.. Huu ugonjwa umekuwepo tumeshindwa kuconnect dot za wagonjwa wamafua toka 2018 to date.. Watu wengi wanakiri kuugua na kuwa na dalili za Corona toka 2018 na kupona.

*Issue ya msingi nikuzuia maambukizi zaidi maana tuko na ndugu wana kinga dhaifu na magonjwa mengine yanaweza kupelekea vifo kwa haraka.. But ukweli tunakosa facts kusupport this namkumbuka Dr Sebi nayaliyomsibu alipokuwa anapambana kuweka ukweli hadharani kuhusu magonjwa sugu duniani.



Sent from my iPhone using JamiiForums
Hv ni kweli huyu Dr sebi alikuwa na dawa HIV

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom