Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dream houses in their nakedness kushoto kulia. 15 years ago 😂 😂 😂 View attachment 1394030View attachment 1394031View attachment 1394032
hebu zoom tuone vzr 😃😃😃😃😃
dadeki
2FEDF7DC-AB4F-409B-AF9A-6C0DA94F6555.jpeg
 
Na huu ndyo ukweli ninaoujua mm, but kwakuwa matajiri wa dunia wanataka iwe hofu dunia nzma bac acha tuwasikilize.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimsikiliza mwingereza, anasema wako kwenye delay phase, ukifuatilia kwa undani hiyo delay phase wanamaanisha kuchelewesha maambukizi hadi ifike summer, wanaamini kipindi hicho virus atatokomea tu kulingana na hali ya hewa.
Lakini hutasikia wanasema hali ya hewa na genetics inatufavour watu weusi lakini hili hawatalisema zaidi ni kututia hofu.
Hizo nchi zenye Corona watu weusi wapo na wengine wanaugua ila wanarecover na mara nyingi ni bila hata kujijua kwamba ulikuwa nayo, sijasikia mtu mweusi amekufa kwa Corona na kama yupo huyo alikuwa na tatizo la ziada kiafya.


Corona hii haipishani Sana na mafua, na mafua yanaua Sana wazungu tofauti na sisi, ni ajabu Sana kusikia mtu mweusi kafa kwa mafua.
Corona anaua watu wenye matatizo ya ziada, ndio maana vifo si vingi kwa watoto, wazungu wengi huishi kwa madawa, sasa
Ukimwongezea na corona
 
Ukimsikiliza mwingereza, anasema wako kwenye delay phase, ukifuatilia kwa undani hiyo delay phase wanamaanisha kuchelewesha maambukizi hadi ifike summer, wanaamini kipindi hicho virus atatokomea tu kulingana na hali ya hewa.
Lakini hutasikia wanasema hali ya hewa na genetics inatufavour watu weusi lakini hili hawatalisema zaidi ni kututia hofu.
Hizo nchi zenye Corona watu weusi wapo na wengine wanaugua ila wanarecover na mara nyingi ni bila hata kujijua kwamba ulikuwa nayo, sijasikia mtu mweusi amekufa kwa Corona na kama yupo huyo alikuwa na tatizo la ziada kiafya.


Corona hii haipishani Sana na mafua, na mafua yanaua Sana wazungu tofauti na sisi, ni ajabu Sana kusikia mtu mweusi kafa kwa mafua.
Corona anaua watu wenye matatizo ya ziada, ndio maana vifo si vingi kwa watoto, wazungu wengi huishi kwa madawa, sasa
Ukimwongezea na corona
Well explained bro, ingawa kuna wanaopinga ila watakaa kimya tu watakavyoshuhudia. mtoto wa kiafrica anaugua mafua anaenda kucheza na kamasi likimdondoka, au maofisinihuoni watu wanavyoenda ilhali wanamafua na wengine hadi sauti zinafifia. Ila umwa mafua kwa wazungu halafu uende ofisini uone kama hawajakuona mchawi
CDC: 80,000 people died of flu last winter in the U.S. - STAT
 
Go to mathare and Kibera, I've said that slums do not fit to be called settlements but we have no other term we can use to define them 😂😂😂
Really??? Did you know that slums are also referred to as informal settlements?
 
Still 99% wanaishi kwenye hizo estates wamepanga unataka ulinganishe na waliokwenye nyumba zao? 😁😁
Afadhali nipangishe kuliko kumiliki squalor na nijivunie eti niko na nyumba. Tunamiliki nyumba zetu ushagoo (vijijini). Nairobi tuko kikazi, hatuko huko kujenga uswazi ndio tuonekane tumefanikiwa maishani.
 
Hahaaaaa!!mbna imewaumiza hvo kwel, na bado mashangingi ya kibongo utayakuta na mirangi yao ya mikorogo wakichukua mizigo ya khanga na madera mombasa...

Ukwel mchungu aiseee

Sent using Jamii Forums mobile app
Usifikiri tanzania ni ndogo kiasi hicho hao unao waona either ni wamombasa wa tanga au watanga wa mombasa si ajabu kuona gari za kenya hapa tanga soko la mgandini wakifanya shopping then jion mtu arudi zake mombasa hawa ni ndugu, inshort huwezi kuta kanga za kenya huku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afadhali nipangishe kuliko kumiliki squalor na nijivunie eti niko na nyumba. Tunamiliki nyumba zetu ushagoo (vijijini). Nairobi tuko kikazi, hatuko huko kujenga uswazi ndio tuonekane tumefanikiwa maishani.
Sehemu zilizopimwa DAR ziko nyingi sana nje ya mji na ndiko watu wengi wanajenga...hayo maeneo ya zaman kama tandale ,manzese,mabibo,mburahati,keko, mbagala ,gongolamboto,mwananyamala yasikupe homa bure. ...

Nikianza kukutajia maeneo mazuri na yenye wakazi wengi tu hapo mjini ni mob tu
Bunju,Boko,Tegeta,madale,goba,makongo,salasala, mbezi Louis, kimara,sinza,kiluvya,kibamba,chang'ombe, kigamboni, nmetaja machache

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom