Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Afadhali nipangishe kuliko kumiliki squalor na nijivunie eti niko na nyumba. Tunamiliki nyumba zetu ushagoo (vijijini). Nairobi tuko kikazi, hatuko huko kujenga uswazi ndio tuonekane tumefanikiwa maishani.
Ugonjwa wako wewe inaonekana haujapona, et squalors!! Nimekuambia ingia Google Earth ulete images za makazi mapya tuone lakini umeleta zile zile za tandale na manzese zilizo jengwa 30yrs ago (consider the rust on roofings) then tungelinganisha ubora wa makazi na hizo estates zenu ambazo nyingi ni poor quality
 
Well explained bro, ingawa kuna wanaopinga ila watakaa kimya tu watakavyoshuhudia. mtoto wa kiafrica anaugua mafua anaenda kucheza na kamasi likimdondoka, au maofisinihuoni watu wanavyoenda ilhali wanamafua na wengine hadi sauti zinafifia. Ila umwa mafua kwa wazungu halafu uende ofisini uone kama hawajakuona mchawi
CDC: 80,000 people died of flu last winter in the U.S. - STAT

kuna watu huko mtandaon wanasema tanzania mwaka jana tuliwahi kukumbwa na tatizo la mafua.. lbda ndo hayo corona

kama ndo yenyewe basi wazungu wameihype sana hii corona
 
Another dunderhead Tanzanian

Sent using Jamii Forums mobile app
ndo Mana mzungu anakuita cz hujiamini pia huna character za kuwa human being, hv ushawahi fny analysis ni watu weusi wngp mpk ss wamekufa kwa huo ugonjwa wakiwa hapa Africa, u monkey hata analysis ndogo km hyo inakushinda unabaki kuogopa ogopa tu km mbwa koko, hv unadhani ww unaweza kudhibiti huo ugonjwa usiue maelfu ya wenzio pale kibera? Au unadhani unaweza kuuzuia huo ugonjwa usi spread sn km China? Jiulize af upate jibu acha uvivu wa kufikiri, tunatishwa sn kuliko ilivyo kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afadhali nipangishe kuliko kumiliki squalor na nijivunie eti niko na nyumba. Tunamiliki nyumba zetu ushagoo (vijijini). Nairobi tuko kikazi, hatuko huko kujenga uswazi ndio tuonekane tumefanikiwa maishani.
Ni kwasababu Nairobi ni kaduchu compared with the giant dar es salaam, ni sawa na mtz akajenge kijumba chake posta, lkn nyie nyumba mnajenga ushagoo manaake umbali kdg kutoka Nairobi ni bush ila co kwa dar, jiji zima ni mjini af ni kubwa sn yn ukisema dar manaake ni mjini tofauti na nyie ukitoka Nairobi kdg tu ni pori (ushagoo) that's the case.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna watu huko mtandaon wanasema tanzania mwaka jana tuliwahi kukumbwa na tatizo la mafua.. lbda ndo hayo corona

kama ndo yenyewe basi wazungu wameihype sana hii corona

Jamani msichukulie poa huu ugonjwa! Corona inafanya mgonjwa ashindwe kupumua!
 
kama unakubali corona ni mafua.. basi ujue mzungu na mafua hawapatani kabisa! ndo huko kwao wanaona ni hatari sana, ila sisi bongo mafua ni kawaida ila yakizidi sana ndo huwa hatari inaweza kukudhuru
Baba ingia youtube uone!
 
mim naona huu ugonjwa tayar upo na umewapata wengi ila tumedunda kama kawaida mtaani.. wale wa mipakan au airport ndo haswa wanajulikana kwa kutumia vile vipimo.. pia naamin hatukuwa na haja ya kufunga shule na mavyuo.. tungeendelea tu na maisha ya kawaida.. wazungu tu ndo wameu over hype huu ugonjwa
 
Back
Top Bottom