Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 21,149
- 29,759
Hiyo desine mbaya sana ya uwanja inabidi magufuli kuchukua hatua kuna kitu nyuma ya pazia la ubunifu wa michoro kutakuwa kuna fisadi papa kashikilia hiyo nyanja ni lazima tujue hizo ramani za ujenzi zimepitaje pitaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app




