Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,866
- 103,718
Na kuhusu hayo mapanzi yao wanayoyaita matatu wanachekesha sana wanavyoyaita culture yao wakati india yanatumika tokea zamani tena kwa safari za vijijini:Duuuu wakenya wachafu sana mna matatu kacha ambayo asili yake ni uchafu uchafu wa slum na sasa mmeanza kujenga majengo yenye kacha za slum sasa ilo jengo lenye kufanana na kimbaa ( kinyesi ) ktk ya mji ndiyo nini ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika kila sekta? 😂 😂 😂 😂Tatizo siyo idadi hapo mnatakiwa kuangalia move yetu ilivyo kubwa kutoka kuwa nchi ya 3 duniani 1995-1999 hadi kuwa kwenye nchi kumi bora Africa katika kila sekta sasa angalia hiyo speed kisha uniambie ni nchi ngapi duniani imeweza kwenda kwa hiyo speed hadi ichaguzi wa Kenya ufike 2022 Tanzania itakuwa mbali kwelikweli sijui kama wakenya kwenye huo uchaguzi amta toana roho kwa sababu ya uchungu wa kuachwa vibaya na tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kamuiga nani? Eti culture!
India:
Kenya
.Hahahaha, hahahaha, hahahahaKENYA BUDGET 2020/21. 2.9 KSH,TOTAL REVENUE COLLECTED 2.1TRILLIONView attachment 1385433
Na hayo malori yana kunguni usiombe😀😀😀Bora ya Wenzao ni mabus, Kuliko fabricated Trucks.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nani kamuiga nani? Eti culture!
India:
Kenya
Slum kachaaa India vs kenyaNani kamuiga nani? Eti culture!
India:
Kenya


😂😂😂😂😂Mbona anatia huruma na simu anayotumia
Ahsante kwa maludio mkuu🙏🙏🙏