Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tumia akili kidogo Nani kaongelea ukubwa wa uwanja mm nimesema design mbaya sijaongelea ukubwa wala gharama za uwanja ukikosea design tu ni sawa sawa na kuchezea Pesa unaweza kujenga nyumba ya mil400 mwenzako akajenga ya milioni 80 tu ila watu wakaiona iyo ya mil80 ni nzuri Mara 5 ya ile ya mil400 huo uwanja ni mbaya hata terminal 2 ya dar ni nzuri kuliko huo
Ulitakaje kwani kaka, Design ya kiwanja cha Msalato iko poa tu,na imepita kwny mikono ya wakubwa wote,shida watu wa wengi walitegemea Dodoma kutakuwa na vitu vikubwa vikubwa tu, kuna kitu kinaitwa economic viability....kwa sasa na miaka kadhaa ijayo Dodoma inahitaji Terminal Building ya size hiyo

Uko sawa Geza tatizo watu wali expect Dodoma itakuwa na mavitu makubwa makubwa bila kufikiri maswala ya economic viability....Hiyo Terminal iko poa na ndio inayohitajika kwa sasa na miaka kadhaa ijayo,kikubwa ni kuhakikisha iwe na facilities za hali ya juu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The ultra modern stadium in east and central Africa

IMG_20200312_212214.jpg
 
Tumia akili kidogo Nani kaongelea ukubwa wa uwanja mm nimesema design mbaya sijaongelea ukubwa wala gharama za uwanja ukikosea design tu ni sawa sawa na kuchezea Pesa unaweza kujenga nyumba ya mil400 mwenzako akajenga ya milioni 80 tu ila watu wakaiona iyo ya mil80 ni nzuri Mara 5 ya ile ya mil400 huo uwanja ni mbaya hata terminal 2 ya dar ni nzuri kuliko huo

Sent using Jamii Forums mobile app
Okay.Ni sawa wewe unayetumia akili uko sahihi.
 
Hvi Mombasa ina millionares wangap hebu nikumbushe nimesahau🤣🤣🤣🤣🤣
1.Ina port kubwa kuliko Dar
2.Barabara nzuri kuliko Dar
3.SGR inayofanya kazi unlike ya Dar
4.Ferry zenu "hapa kazi tu" I&II zinaundiwa Kenya.
5. Mombasa vs Dark es sluum

Tuendelee ama tusiendelee 😁
 
Back
Top Bottom