Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hawa wote ni locals.. kwann wasihurumiane na kubebana 🤦🏽‍♂️

wakati mwingine unaweza kukuta kampuni haikuwa na uwezo wa kuwania tenda ya SGR lakini ikafanya udanganyifu kwa tamaa! Nadhani kama serikali ilifanya lake kuwapa tender wakashindwa kufikia makubaliano. hayo ya madeni Bank haiihusu serikali inakaa ni madeni ya tangu kitambo! inakaa walishinda tender kwa udanganyifu maana haiingii akilini ina madeni na inashinda tender!
 
Hvi mushagundua humu ndani kua wakenya washaanza kuonesha dalili za kushindwa 😁😁😁😁😁 wameanza kupost vitu ovyo ovyo na hio ni dalili moja wapo ya kukata tamaa
Hahahaha mbona nimewasaidia ku-post progress ya big 4 agenda?
 


CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Matrixx

ES7aRZUWAAYlvBC


ES7aSd1XsAAFda1


ES7aUD-WoAIsDtX
 
Back
Top Bottom