Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kweli maisha magumu yamewakamata hawa jamaaπŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

 
😁😁😁😁 karibuni Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡Ώ
Jirani ana hali mbaya sana aiseee

 
CRDB HQ

IMG_6532.JPG



IMG_6533.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
View attachment 1378381
Tanzanians can never admit
Wewe unataka uwaongoze wanafunzi wa primary kama unavyowaongoza wanachuo? Hiyo ndo shida tuliyonayo waafrica, usiige namna USA wanavyojiongoza bali jiulize waipokua na GDP ya below $B 100 walikua wanajiongozaje? Kuna vitu vingi inatakiwa tuvialign kwanza ndio tujiongoze kama wao, hata familia kuna ambayo baba anachapa viboko ilhali mwingine anadekeza
 
Bado usisahau kua dawa ya Nicxie ya BRT iko jikoni naiandaa hakikisha funga gate asitoke mtu yoyote hata kuku asiekua na manyoa asitoke mpaka nimpe dawa yake ili apate Tiba ya uhakika na salama kwa maisha yake yote
Nicxie ukimwambia hv huwa anakuwa mdogo sn km pilton yn anaogopa sana hilo bomu hawa jamaa ni waongo sn kuna uzi wamefungua wanasifu barabara zao af picha wamechukua barabara za ulaya kuaminisha kuwa ni kenya hawa watu wanastahili maombi aisee
 
Back
Top Bottom