Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi



vs

DFcVimgXkAAbFQp


 
Dar yetu
 

Attachments

  • Screenshot_20200306-150232_Instagram.jpg
    Screenshot_20200306-150232_Instagram.jpg
    123.8 KB · Views: 4
  • Screenshot_20200306-144706_Instagram.jpg
    Screenshot_20200306-144706_Instagram.jpg
    111.2 KB · Views: 6
  • Screenshot_20200306-142319_Instagram.jpg
    Screenshot_20200306-142319_Instagram.jpg
    119.9 KB · Views: 6
  • Screenshot_20200306-142400_Instagram.jpg
    Screenshot_20200306-142400_Instagram.jpg
    69.9 KB · Views: 5
  • Screenshot_20200306-145218_Instagram.jpg
    Screenshot_20200306-145218_Instagram.jpg
    125.8 KB · Views: 6
  • 20200221_085043.jpg
    20200221_085043.jpg
    61.1 KB · Views: 6
  • Screenshot_20200306-144815_Instagram.jpg
    Screenshot_20200306-144815_Instagram.jpg
    134.8 KB · Views: 6
kwan kuna utofauti? si ATCL 100% owned by serikali??

anyway huko nyuma serikali (Magu) imekuwa ikisema zitaongeza ndege nyingine mwaka 2020, yan mwaka huu!
Ni kweli it's owned by GoT 100% ila unajua serikali imekuwa ikitoa pesa sehemu nyngne ku service atcl mfano kununua ndege, swali langu ni kwamba ndege hizi zinatokana na pesa inayotoka atcl au....

Anyways, mradi ndege zije tu naamini huko mbele shirika litakuwa na uwezo huo.
 
Hata China inazidi USA kwa PPP. ..who can give me the really meaning of ppp in a relation to economy
PPP (purchasing power parity) ndiyo real GDP (kwa nchi husika), ni uwezo wa nchi kununua bidhaa/huduma. Nominal (GDP) ni kiwango cha kinadharia zaidi, kinacho dhani bei ya bidhaa/huduma duniani kote ni sawa. Yaani bei ya embe Tanzania na Canada ni sawa bila kujali upatikanaji au mfumuko wa bei.

Hivyo, watu wanaposema umasikini ni kupata dola moja kwa siku kwa kutumia kigezo cha Nominal (GDP) siyo sawa kwa kuwa, dola moja Tanzania mtu anakula (tena organic food) mara mbili kwa siku wakati Kenya hicho kitu hakiwezekani. Ndiyo maana Kenya (Nominal - GDP) ni kubwa kuliko Tanzania wakati PPP ya Tanzania inaizidi ile ya Kenya.
 
Back
Top Bottom