Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,852
- 103,715
Dar Mkorea, Mwanza Mchina huyu Magufuli anapenda sifaa!
Nagoja kuona hili atapewa nani!
Maana huku Wami bridge Mchina
Mbali sanaWestlands imeipiku Dar tayari.
Ngoma iko hapa ikiwa hio ni 42 the second one is below 35 and the rest are below 30 sindano hii hapa ukweli uko hapa🤣🤣🤣🤣👇👇👇💉💉💉💉Kuna mtanganyika anaumia sana hapa kuhusu GTC. Auguze maumivu polepole 😂 😂 😂 View attachment 1370167View attachment 1370168View attachment 1370169View attachment 1370170View attachment 1370172View attachment 1370174View attachment 1370175View attachment 1370176View attachment 1370177
Uhehehe 💉💉💉🤣🤣🤣👇👇👇👇Westlands imeipiku Dar tayari.
Nipe jibu hapa kwanza ili tuendelee🤣🤣👇👇💉Hebu hesabu hizo ambazo ziko below 30 floor by floor utuonyesha hapa
Nimeona GDP ya ke $105B kwa mwaka huuHata GDP tumewazidi, SGR, Lamu port vs bagamoyo, riadha, football, rugby, miji, miundo mbinu na njaa Yani zote kote tumewazidi.
Suala la madaraja wanajua fika kua hawawezi...na hatutaki excuses kabisa !!
Dar Mkorea, Mwanza Mchina huyu Magufuli anapenda sifaa!
![]()
![]()
![]()
Nagoja kuona hili atapewa nani!
![]()
![]()
Maana huku Wami bridge Mchina
![]()
![]()
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 GDP iko kwenye makaratasiNimeona GDP ya ke $105B kwa mwaka huu
Lakini kwa ground ata $50B ni nyingi sana
Miradi ya kimbuzimbuzi tu ndio imejaa na rushwa, Mtandelea kua na GDP kubwa lakini maendeleo mtayasikia kwa wachache wanaochota pesa za walalahoi bila kufanywa lolote
Sent using Jamii Forums mobile app
Dar Mkorea, Mwanza Mchina huyu Magufuli anapenda sifaa!
![]()
![]()
![]()
Nagoja kuona hili atapewa nani!
![]()
![]()
Maana huku Wami bridge Mchina
![]()
![]()
Unapenda kujihami sana..sasa unataka niposti nini!????..wakati 80% ya nairobi ni slum,10% ni miti na vichaka,5% roads na 5% ndo hizo hostel na nyumba za European population..Sikatai ila nataka unionyeshe picha kama hii kutoka Nairobi kama sio slum.
View attachment 1369898
Nionyeshe tu mtaa wowote Nairobi yenye nyumba kama hizo kama sio slum
Hiyo 80% ndio nataka upost na utaje jina ya mtaa. Mbona unashindwa kufanya kitu rahisi kama hiyo?Unapenda kujihami sana..sasa unataka niposti nini!????..wakati 80% ya nairobi ni slum,10% ni miti na vichaka,5% roads na 5% ndo hizo hostel na nyumba za European population..
Unataka niposti hostel zenu zipambane na hapo magomeni ambapo actually huishi watu wenye kipato duni...hey be reasonable!
Nimeona GDP ya ke $105B kwa mwaka huu
Lakini kwa ground ata $50B ni nyingi sana
Miradi ya kimbuzimbuzi tu ndio imejaa na rushwa, Mtandelea kua na GDP kubwa lakini maendeleo mtayasikia kwa wachache wanaochota pesa za walalahoi bila kufanywa lolote
Sent using Jamii Forums mobile app
"GDP means nothing if you have no money in your pocket. Nobody eats GDP because it is not edible at all but what matters is the money in people's pockets bila kusahau chakula," he said.
Maendeleo ya 109b GDP yako wapi munanuka mikopo over 65% debt to GDP ratio🤣🤣🤣🤣Imf wanasema gdp wanasema ni 109.13 billion ..angalia View attachment 1370316
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushawa jua Kenya debt to GDP ratio ni ngapi??🤣
Ajue wapi wakati kazi yake ni kusifu vitu visivyo na manufaa kwa wakenya wengi 😂😂😂Ushawa jua Kenya debt to GDP ratio ni ngapi??🤣